Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 42,023
- 12,811
Nadhani kutakuwa Na control maana sio Mara ya kwanza manji kufanya hivyoWakubali pia kama kikitokea kitu chochote uwanjani kibaya au maafa ambayo hatuombei au hata vitu kuharibiwa uwanjani basi wawajibike pia maana kuachia uwanja bure ina maana hakuna control kila mtu ana haki ya kuingia si bure ila hatari ni kubwa kuliko wanavyofikiria.