Kuiona Yanga vs TP Mazembe bure, njooni kwa wingi

Kuiona Yanga vs TP Mazembe bure, njooni kwa wingi

Mshaona ile bendi ya tp mazembe itawafunika bibaya, hata mseme mnawapa mashabiki fedha, kichapo kiko palepale
Pana mechi zinazochezwa bila ya mashabiki na timu zao zinacheza vizuri mno. Fikra finyu tutaondokana nazo vipi?
 
TFF haiwezi kukosa mapato. anayetaka watu waingie bure atalipia tiketi za watu elfu60.
Ule uwanja siyo wa yanga.hata CAF wanategemea mapato kutoka mechi hizi bado kuna mwenye uwanja, TRA bmt ulinzi n.k
 
Watu mmeambiwa mkaangilie mpira bure hilo suala la malipo ya uwanja, tff, na caf waachieni Yanga yenyewe wanajua walichofanya.
 
Ungekuwa unajua wala usingeandika upuuzi huo,hizo ni hasira za mkizi,kwani mechi kurushwa live kuko palepale na gharama zote za mchezo lazima yanga azilipe kuna uwanja asilimia 15,zitoke mfukoni kwa manji kuna ulinzi,sasa hizo ni akili au matope!?unajiita wa kimataifa wakati una mawazo ya kimchangani!!kanuni hamsomi mnafuata anavyosema yule vuvuzela wenu!!akiwalisha tango poli mnameza tu!!hakuna kanuni ya caf inayosema eti muishirikishe timu husika kwenye maamuzi ya nani aonyeshe mechi husika.mlizoea kuwapeleka tff,sio caf.


Mbona umeandika kwa hasira. Kwani Manji ameomba msaada wa kulipa gharama za mchezo? Ni jukumu la serikali kuhakikisha usalama unapatikana no matter kwa hela au bure. Kwenye TV live broadcasting timu zote lazima zina haki, hakuna sheria ya TFF, CAF au FIFA inayowanyima Yanga hela kutokana na matangazo ya hii mechi. Acha hasira wahi uwanja wa taifa, uzalendo kwanza.
 
Ungekuwa unajua wala usingeandika upuuzi huo,hizo ni hasira za mkizi,kwani mechi kurushwa live kuko palepale na gharama zote za mchezo lazima yanga azilipe kuna uwanja asilimia 15,zitoke mfukoni kwa manji kuna ulinzi,sasa hizo ni akili au matope!?unajiita wa kimataifa wakati una mawazo ya kimchangani!!kanuni hamsomi mnafuata anavyosema yule vuvuzela wenu!!akiwalisha tango poli mnameza tu!!hakuna kanuni ya caf inayosema eti muishirikishe timu husika kwenye maamuzi ya nani aonyeshe mechi husika.mlizoea kuwapeleka tff,sio caf.
Mapovu ya nini sasa? Pesa watoe yanga kuwaswhwa uwashwe wewe. Nenda kagalegale matopeni huko
 
Mapovu ya nini sasa? Pesa watoe yanga kuwaswhwa uwashwe wewe. Nenda kagalegale matopeni huko
Yanga fc wanapesa au manji?bora mimi ni wamatopeni na nina akili za kimatopeni kuliko wewe mwenye mawazo ya kimataifa lakini akili za matopeni!!
 
Mbona umeandika kwa hasira. Kwani Manji ameomba msaada wa kulipa gharama za mchezo? Ni jukumu la serikali kuhakikisha usalama unapatikana no matter kwa hela au bure. Kwenye TV live broadcasting timu zote lazima zina haki, hakuna sheria ya TFF, CAF au
FIFA inayowanyima Yanga hela kutokana na matangazo ya hii mechi. Acha hasira wahi uwanja wa taifa, uzalendo kwanza.
Na kwa akili kama hizi Muro huwa anapenda sana!!kama mngehudhuria ile semina ya caf wala msingesema haya,na ndio maana hata kule algeria ilibidi mkanunue jezi mpya dukani!!zile za kilimanjaro zilipokataliwa!wewe kasome kanuni za caf juu ya haki za matangazo,ndio utapata jibu!unadhani hiyo pesa mnayopata kwa maandalizi toka caf,ni zipi?mala muro ndio apange sehemu mashabiki wa mazembe wakae?tena afadhari kwenye vitu serious muwe mnamtumia Sanga kidogo ana busara,haendeshwi na mihemko kama ya huyo,pompoma!ila sio kosa lake kwani anatumika tu na mwenyewe amekubali na kuamua kuweka taaluma yake pembeni!!wakimataifa gani ambaye sheria za kimataifa hazijui?nyie fanyeni maandalizi ya kutosha uwanjani msianze kutafuta sababu,mlipewa vifaa vya maandalizi eti tff ndio wakavikomboe??!hadi gharama ya kuvikomboa ikafika milioni7!!lakini kwakuwa club yenyewe inaendeshwa kizamani,hakuna report ya mapato na matumizi!!powa tu mtu anaingia mfukoni analipa maisha yanaendelea!kweli ndala kwake ni chooni tu
 
hata wewe unaye kuja kuangalia ukitaka kulipwa utalipwa tu.
Kwa mawazo haya pompoma,wenu atawaburuza kweli!!kwani ndio mnataka kuyasikia,eti yanga ni zaidi ya CAF!!ila nilichompendea kuna siku alisema" baniani mbaya kiatu chake dawa".
 
KAZI tadani taidani

Wapendwa watanzania uongozi wa Yanga kwa moyo mmoja umekaa nakuona tunaitaji watanzania wengi kuona mechi zetu

Hivyo basi mechi ya yanga na TP Mazembe tumeondoa viingilio kila mtu ataingia buure na atakaekuuliza tkt piga mayowe vijana watakuja kuwasaidia

Timu ni ya watanzania wote wapo waliotamani kuiona Yanga lakini kwa sababu fulani wangeshindwa sasa tunawakaribisha wooote

Imetolewa na msemaji mkuu Yanga

Jerry C Muro


Duh, haya bwana...ila mtafaruku wa YANGA wa mwaka 1975/1976 ulikuja baada ya mechi ya kimataifa baina ya ENUGU RANGERS na YANGA....
 
Swala la kulinda mashabiki ni jukumu la serikali hasa ukizingatia ni mechi inayotambulika kimataifa,mlitaka Yanga wafanyeje labda?Waweke walinzi wao?

Serikali ina majukumu makubwa sana , haiwezi kuendekeza ubwege wa tff na yanga, makomandoo wa yanga wanaweza kulinda tu...kama walienda kulinda kambi uturuki 'watashindwa hapa dar?
 
Huo uwanja ni wa Serikali hivo pana gharama zinazitumika katika mechi sasa hapo atalipa nani?
yanga wanahela wewe hata hao watazamaji wanaoingia bure wanao uwezo wa kuwalipa wote..chezea manji wewe
 
Naelekea taifa kupanga foleni mapema kwa maana na hali hii ya uchumi wa sasa,naona dalili ya mafuriko
 
KAZI tadani taidani

Wapendwa watanzania, uongozi wa Yanga kwa moyo mmoja umekaa na kuona tunaitaji watanzania wengi kuona mechi zetu

Hivyo basi mechi ya yanga na TP Mazembe tumeondoa viingilio kila mtu ataingia buure na atakaekuuliza tiketi piga mayowe vijana watakuja kuwasaidia.

Timu ni ya watanzania wote, wapo waliotamani kuiona Yanga lakini kwa sababu fulani wangeshindwa sasa tunawakaribisha wooote.

Imetolewa na msemaji mkuu Yanga

Jerry C Muro


Wewe kweli mwehu haswaaaaa, yaani tuache kufanya ya maana tukaione Yanga, kwa msingi upi? Yanga si timu na hawana cha maana wanachokifanya Zaidi ya usindikizaji tu. Nategemea kusikia wamechapwa kwao 7 - 0 au Zaidi.
 
Back
Top Bottom