Ungekuwa unajua wala usingeandika upuuzi huo,hizo ni hasira za mkizi,kwani mechi kurushwa live kuko palepale na gharama zote za mchezo lazima yanga azilipe kuna uwanja asilimia 15,zitoke mfukoni kwa manji kuna ulinzi,sasa hizo ni akili au matope!?unajiita wa kimataifa wakati una mawazo ya kimchangani!!kanuni hamsomi mnafuata anavyosema yule vuvuzela wenu!!akiwalisha tango poli mnameza tu!!hakuna kanuni ya caf inayosema eti muishirikishe timu husika kwenye maamuzi ya nani aonyeshe mechi husika.mlizoea kuwapeleka tff,sio caf.