Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂aisee kama ni kweli Yanga kiboko
Huu uzi wa muda mkuuDuh aiseeee wangeweka hata kiingilio cha buku
Huu uzi wa muda mkuu
Vipers, Zanaco Uwanja ulifull lakin kichapo kky.....KAZI tadani taidani
Wapendwa watanzania, uongozi wa Yanga kwa moyo mmoja umekaa na kuona tunaitaji watanzania wengi kuona mechi zetu
Hivyo basi mechi ya yanga na TP Mazembe tumeondoa viingilio kila mtu ataingia buure na atakaekuuliza tiketi piga mayowe vijana watakuja kuwasaidia.
Timu ni ya watanzania wote, wapo waliotamani kuiona Yanga lakini kwa sababu fulani wangeshindwa sasa tunawakaribisha wooote.
Imetolewa na msemaji mkuu Yanga
Jerry C Muro
Wanaenda kushuhudia Simba anavyopigwa kama ngoma.Yanga wengi watahudhuria game ya Jumamosi ya Simba, ukweli ndiyo huo.
Yanga ilipigwa 1Hii mechi iliishaje?