Kuishi na majirani yataka moyo

Kuishi na majirani yataka moyo

Wakuu ni mwezi sasa tangu nijiunge na chama cha wapangaji. Sasa naona kasheshe ya kukaa nyumba moja na wanafunzi plas mdada ambaye pesa yake kutoa mpaka bwana wake amzingatie.

Watu wanakera sana sana sana. Ishu imekua changamoto hapa ni umeme yaani umeme unaisha kama kuna mpangaji anakunywa.

Na biashara yangu hapa inategemea umeme hivo kuna mda ukikatika wenyewe wanajikausha kimya wakitegemea mimi lazima nitalipa tu.

Wakuu naombeni ushauri hapa au maoni hiki tatizo naepuka vipi. Maana mama mwenye nyumba nae ana mambo mengi mno.

Nyumba inakula umeme kama kiwanda cha misumali aiseee. Nilijua baada ya kupata biashara hii ya kupata chochote kitu nitakua nishamaliza kumbe kuna huu ujinga ujinga wa wapangaji kuwa na visirani na watu.

Na hiki kisirani ndo kinafanya vijana tuwe tunawaka hawa wadada ambao wameolewa ila wanashindwa kutimiziwa haki ya msingi. Sometimes genye zinaweza kuleta taflani.

Nawasilisha. Juu hapo nimeomba ushauri kutokana na hii ishu ya umeme watu kushindwa kulipa wanategemea mimi wa biashara nitalipa. Natatua vipi?
Weka mita yako Tsh. 321000
 
Ha ha ha rich aunt
Hakuna cha shangazi wala aunt. Niite faizaFoxy tu, hunijuwi sikujuwi.

Kumuita jina au lebo yoyote mwana jf kinyume na ID yake ni "name calling". Name calling ni kosa la kupigwa ban JF.
 
Utoto shida.
We kama unajiweza,mbona hukupanga kivyako? Huyo anayemtegemea kishtobe wake,kosa lake nini hapo? Uwezo mdogo?! Haya maisha tulizaneni,leo unacho,kesho huna. Leo huna,kesho umepata.

Uanaume ni kutambua kuwa kuna wakati wengine hawana chochote. Utakuta mjinga anajisifu eti akipika getoni kwake,wanakuja kujikalisha ili akale nao. Shida hazina adabu.
 
Yaan bado hatujasema
Me kuna nyumba moja niliwahi ishi ni ya kupangaaa oyaaa kulikuwa na nke ya ntu inantakaaa yan nikikaaa nje tu basi atachukuaaa vidagaaa vyake achambue na wakat huo amekaaa mbele angu kachanua miguu aiseee naona tahiti akeee tu aiseee[/QUOTE]
 
Utoto shida.
We kama unajiweza,mbona hukupanga kivyako? Huyo anayemtegemea kishtobe wake,kosa lake nini hapo? Uwezo mdogo?! Haya maisha tulizaneni,leo unacho,kesho huna. Leo huna,kesho umepata.

Uanaume ni kutambua kuwa kuna wakati wengine hawana chochote. Utakuta mjinga anajisifu eti akipika getoni kwake,wanakuja kujikalisha ili akale nao. Shida hazina adabu.
Daah ila mkuu kama umedandia tren kwa mbele..

Hoja hapa ni kuwa watu hawalipii umeme wakitegemea mimi mwenye biashara kwa vyovyote vile nitanunua.

Mbona una waza negative tu...
Unakua against kwa kitu ata ujaelewa vzri juu hapo
 
Back
Top Bottom