Fundi manyumba
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 3,799
- 8,063
- Thread starter
- #81
Jamaa ana mambo hovyo huyoWapi sasa, masaki au kazulamimba?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa ana mambo hovyo huyoWapi sasa, masaki au kazulamimba?
Bado kuna kitu ujaelewa hapo...Wewe ndio kero, wenzako wanawashia taa tuu huku wewe unatumia umeme kufanyia biashara, na unataka mlipe sawa, huna akili wewe
Ipi point hapo .?point ipo hapo
Umeongea kitu muhimu sana mkuu..Pima faida au hasara kwa mwaka, ikiwa hasara hama
Ahahahah nyie subirini sio mda nanunua bindukiMajirani wenyewe ndo sisi🤒
Ahahahahhah ushawahi ishi nao na wewe mkuu...Napingana na kauli ya kusema kuishi na majirani yataka moyo badala yake ungesema kuishi na wapumbavu yataka moyo
ww unatumia umeme wa nyumban kujiingizia kipato, wao wanawashia taa na vifaa vya mziki ambapo matumizi yake ni kidogo sana. Unaona mpo sawa?Ipi point hapo .?
Kuna majirani jau sana lo
Mkuubishu sio kulipa kwa usawa...ww unatumia umeme wa nyumban kujiingizia kipato, wao wanawashia taa na vifaa vya mziki ambapo matumizi yake ni kidogo sana. Unaona mpo sawa?
Jau mm unatamani hata uwapige pipeKuna majirani jau sana lo
😀😀😀🖐️Aseee Jiji laendelea kuwa la motoWakuu ni mwezi sasa tangu nijiunge na chama cha wapangaji. Sasa naona kasheshe ya kukaa nyumba moja na wanafunzi plas mdada ambaye pesa yake kutoa mpaka bwana wake amzingatie.
Watu wanakera sana sana sana. Ishu imekua changamoto hapa ni umeme yaani umeme unaisha kama kuna mpangaji anakunywa.
Na biashara yangu hapa inategemea umeme hivo kuna mda ukikatika wenyewe wanajikausha kimya wakitegemea mimi lazima nitalipa tu.
Wakuu naombeni ushauri hapa au maoni hiki tatizo naepuka vipi. Maana mama mwenye nyumba nae ana mambo mengi mno.
Nyumba inakula umeme kama kiwanda cha misumali aiseee. Nilijua baada ya kupata biashara hii ya kupata chochote kitu nitakua nishamaliza kumbe kuna huu ujinga ujinga wa wapangaji kuwa na visirani na watu.
Na hiki kisirani ndo kinafanya vijana tuwe tunawaka hawa wadada ambao wameolewa ila wanashindwa kutimiziwa haki ya msingi. Sometimes genye zinaweza kuleta taflani.
Nawasilisha. Juu hapo nimeomba ushauri kutokana na hii ishu ya umeme watu kushindwa kulipa wanategemea mimi wa biashara nitalipa. Natatua vipi?
😀😀😀😀 Haya mambo tumekukataza
Mkuu kuna wake za watu wameanza kupeta taflan hapa😀😀😀🖐️Aseee Jiji laendelea kuwa la moto
😂 Daah mkuu ngoja niachane nayo.😀😀😀😀 Haya mambo tumekukataza
Mkuu kuna wake za watu wameanza kupeta taflan hap
Uzuri wazee walikuadhari mapema. Pale😂 Daah mkuu ngoja niachane nayo.
Mkuu leo fanya kweli sasa... Dactari wa binaadamu na wamama
Ahahaha we kuweza mkuu...Funga mita yako ukihama muuzie atakayeingia akizingua ng’oa
Sana tu mkuuAhahahahhah ushawahi ishi nao na wewe mkuu...