Kuishi na majirani yataka moyo

Kuishi na majirani yataka moyo

Wewe ndio kero, wenzako wanawashia taa tuu huku wewe unatumia umeme kufanyia biashara, na unataka mlipe sawa, huna akili wewe
Bado kuna kitu ujaelewa hapo...
Ni vyema ukasoma kwa makini..

Sijazungumzia usawa wa kulipa. Nimezungumzia ushirikiano mimi...
 
ww unatumia umeme wa nyumban kujiingizia kipato, wao wanawashia taa na vifaa vya mziki ambapo matumizi yake ni kidogo sana. Unaona mpo sawa?
Mkuubishu sio kulipa kwa usawa...
Elewa kuwa mda ukiisha umeme wanashindwa kushirikiana na mimi mfano mi natoa 15k wenyewe wanatoa 5k..

Siku ukiisha mda wa kuchanga wanakua hawana ushirikiano
 
Wakuu ni mwezi sasa tangu nijiunge na chama cha wapangaji. Sasa naona kasheshe ya kukaa nyumba moja na wanafunzi plas mdada ambaye pesa yake kutoa mpaka bwana wake amzingatie.

Watu wanakera sana sana sana. Ishu imekua changamoto hapa ni umeme yaani umeme unaisha kama kuna mpangaji anakunywa.

Na biashara yangu hapa inategemea umeme hivo kuna mda ukikatika wenyewe wanajikausha kimya wakitegemea mimi lazima nitalipa tu.

Wakuu naombeni ushauri hapa au maoni hiki tatizo naepuka vipi. Maana mama mwenye nyumba nae ana mambo mengi mno.

Nyumba inakula umeme kama kiwanda cha misumali aiseee. Nilijua baada ya kupata biashara hii ya kupata chochote kitu nitakua nishamaliza kumbe kuna huu ujinga ujinga wa wapangaji kuwa na visirani na watu.

Na hiki kisirani ndo kinafanya vijana tuwe tunawaka hawa wadada ambao wameolewa ila wanashindwa kutimiziwa haki ya msingi. Sometimes genye zinaweza kuleta taflani.

Nawasilisha. Juu hapo nimeomba ushauri kutokana na hii ishu ya umeme watu kushindwa kulipa wanategemea mimi wa biashara nitalipa. Natatua vipi?
😀😀😀🖐️Aseee Jiji laendelea kuwa la moto
 
Back
Top Bottom