Kuishi na majirani yataka moyo

Weka mita yako Tsh. 321000
 
Ha ha ha rich aunt
Hakuna cha shangazi wala aunt. Niite faizaFoxy tu, hunijuwi sikujuwi.

Kumuita jina au lebo yoyote mwana jf kinyume na ID yake ni "name calling". Name calling ni kosa la kupigwa ban JF.
 
Utoto shida.
We kama unajiweza,mbona hukupanga kivyako? Huyo anayemtegemea kishtobe wake,kosa lake nini hapo? Uwezo mdogo?! Haya maisha tulizaneni,leo unacho,kesho huna. Leo huna,kesho umepata.

Uanaume ni kutambua kuwa kuna wakati wengine hawana chochote. Utakuta mjinga anajisifu eti akipika getoni kwake,wanakuja kujikalisha ili akale nao. Shida hazina adabu.
 
Yaan bado hatujasema
Me kuna nyumba moja niliwahi ishi ni ya kupangaaa oyaaa kulikuwa na nke ya ntu inantakaaa yan nikikaaa nje tu basi atachukuaaa vidagaaa vyake achambue na wakat huo amekaaa mbele angu kachanua miguu aiseee naona tahiti akeee tu aiseee[/QUOTE]
 
Daah ila mkuu kama umedandia tren kwa mbele..

Hoja hapa ni kuwa watu hawalipii umeme wakitegemea mimi mwenye biashara kwa vyovyote vile nitanunua.

Mbona una waza negative tu...
Unakua against kwa kitu ata ujaelewa vzri juu hapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…