Pokeeni Salamu kutoka kwa Maaskari Magereza.Yanga yenyewe mbovu sana ukilinganisha na timu zote zilizotinga robo final..ndio timu iliyoingia robo kwa kufungwa sana,pia ndio timu iliyoingia robo kwa point za chini
Nani sasa aliechanganyikiwa aliemfata chiz au anaembiwa chizi?Wamatopeni Kolouzidad Mmechanganyikiwa
Watajifanya hawajaona hii commentWengine wana watoto mashabiki wa simba..mama zao baba zao..wote ni vichaa..kama unajijua ww ni mshabiki wa Simba una mtu wako wa karibu ni Simba..mume au mke basi jua ni vichaa...
kwa mujibu wa Utopoloz wa JF...
Hata ww ni wale wale tuu sasa kumuita mtu popoma sio tusi?Yaani ukishakuwa tu shabiki wa simba, basi Mirembe au Lutindi inakuhusu. Na kama huamini tuanze kuchunguza idadi ya Mapopoma na majitu yanayotukana watu hovyo humu jukwaani! Mwisho wa siku utagundua idadi kubwa ni mashabiki wa simba.
Nawengi ndio hao bodaboda wanakero balaaMimi huwa nawafananisha mashabiki wa Simba na madereva bodaboda
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣ndio maana wanaitwa Makolo au mbumbumbu fcWakuu kwema.. Hivi hawa watu nyie mnawezaje kuishi nao? Mbona ni watu wenye uelewa mdogo sana na huu mchezo wa soka?
Kuna jamaa zangu ni mashabiki wa Simba hapo juzi kabla ya mchezo wa Simba na Prisons walikuwa wakisema Simba ni timu tishio Africa, Aly Ahly, Mamelodi, Tp Mazembe wote kwa sasa wanaiogopa Simba, timu yeyote itayokuja mbele yao itapigwa goli kuanzia 6 na kuendelea..
Sasa mara baada ya mechi kuisha na Simba kupigwa goli 2-1 Maneno yao yamegeuka, utawasikia ooh Simba ni hovyo sana, pale hakuna timu, Uongozi haufai, tumesajili magarasa. Wengine wakaenda mbali zaidi na kusema timu nzima imejaza wazee, mara yule benchikha hamna kocha pale anabebwa na uwezo wa Chama tu....
Hivi nyie huko mtaani kwenu mnawezaje kuishi na viumbe vigeugeu wa namna hii??
Semaji letu wanajf,,,, pumzika sasa inatoshaMimi nimemaliza ngoja tuone machizi yale orijino yenye akili 2 sasa yanavyochizika kwenye comments...
Wanabishana hadi jasho linatoka kwenye menoMtaani nimeacha kubishana naoo
Wanabishana mpaka mishipa ya kila sehemu inawasimama
Hawana hoja wamekalia historia tu!
Ukiwauliza hata Mwenyekiti wao anaitwa nani utasikia ety Mo dewji[emoji1787]
Sio kurusha matusi tu na mimate juu unaongea unakwepa mimate utafikiri unapishana na ngumi.Mashabiki wengi wa Simba wana sonona. Kaa mbali nao maana hawachelewi kukurushia matusi
Hahaha.. hawa watu wamepagawaSio kurusha matusi tu na mimate juu unaongea unakwepa mimate utafikiri unapishana na ngumi.
Kama kuishi na maskini Kama wewe?Kuishi na watu mbumbumbu inaitaji moyo haswa
Chura akishaingia dimbwini utasema kameza spika mbovu.Vyura ni vyura tuu...kelele jadi yao...
AahaaaaaWakuu kwema.. Hivi hawa watu nyie mnawezaje kuishi nao? Mbona ni watu wenye uelewa mdogo sana na huu mchezo wa soka?
Kuna jamaa zangu ni mashabiki wa Simba hapo juzi kabla ya mchezo wa Simba na Prisons walikuwa wakisema Simba ni timu tishio Africa, Aly Ahly, Mamelodi, Tp Mazembe wote kwa sasa wanaiogopa Simba, timu yeyote itayokuja mbele yao itapigwa goli kuanzia 6 na kuendelea..
Sasa mara baada ya mechi kuisha na Simba kupigwa goli 2-1 Maneno yao yamegeuka, utawasikia ooh Simba ni hovyo sana, pale hakuna timu, Uongozi haufai, tumesajili magarasa. Wengine wakaenda mbali zaidi na kusema timu nzima imejaza wazee, mara yule benchikha hamna kocha pale anabebwa na uwezo wa Chama tu....
Hivi nyie huko mtaani kwenu mnawezaje kuishi na viumbe vigeugeu wa namna hii??
Bora dereva bodaboda, ana fanya kazi ya kujipatia kipato ili asiwe maskini Kama wewe unayekalisha mapumbu yako kwa shemeji yako ukisubiri akuletee chakula mezani.Mimi huwa nawafananisha mashabiki wa Simba na madereva bodaboda