Kuishi na Mashabiki wa Simba inaitaji moyo sana

Kuishi na Mashabiki wa Simba inaitaji moyo sana

Naona mmepata pa kuponea
Ni nyenye nye nyee tuu mnaongea hapa...
 
Yaani ukishakuwa tu shabiki wa simba, basi Mirembe au Lutindi inakuhusu. Na kama huamini tuanze kuchunguza idadi ya Mapopoma na majitu yanayotukana watu hovyo humu jukwaani! Mwisho wa siku utagundua idadi kubwa ni mashabiki wa simba.
Hata ww ni wale wale tuu sasa kumuita mtu popoma sio tusi?
 
Kama hawana akili unabishana nao ya nini?mbona inaonekana we ndo tahira hapo
 
Wakuu kwema.. Hivi hawa watu nyie mnawezaje kuishi nao? Mbona ni watu wenye uelewa mdogo sana na huu mchezo wa soka?
Kuna jamaa zangu ni mashabiki wa Simba hapo juzi kabla ya mchezo wa Simba na Prisons walikuwa wakisema Simba ni timu tishio Africa, Aly Ahly, Mamelodi, Tp Mazembe wote kwa sasa wanaiogopa Simba, timu yeyote itayokuja mbele yao itapigwa goli kuanzia 6 na kuendelea..

Sasa mara baada ya mechi kuisha na Simba kupigwa goli 2-1 Maneno yao yamegeuka, utawasikia ooh Simba ni hovyo sana, pale hakuna timu, Uongozi haufai, tumesajili magarasa. Wengine wakaenda mbali zaidi na kusema timu nzima imejaza wazee, mara yule benchikha hamna kocha pale anabebwa na uwezo wa Chama tu....

Hivi nyie huko mtaani kwenu mnawezaje kuishi na viumbe vigeugeu wa namna hii??
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣ndio maana wanaitwa Makolo au mbumbumbu fc
 
Mimi nimemaliza ngoja tuone machizi yale orijino yenye akili 2 sasa yanavyochizika kwenye comments...
 
Haiitaji Microscope kugundua mashabiki wa Simba ni hamnazo. Simba ni vilaza tupu kwa mujibu wa mwenyekiti wao wa zamani
 
Siku zote chizi anawaona watu walionzunguka ndio machizi
 
Mtaani nimeacha kubishana naoo
Wanabishana mpaka mishipa ya kila sehemu inawasimama
Hawana hoja wamekalia historia tu!

Ukiwauliza hata Mwenyekiti wao anaitwa nani utasikia ety Mo dewji[emoji1787]
Wanabishana hadi jasho linatoka kwenye meno
 
Sio namna ya kuishi, ni umaskini ndio unakusumbua
 
Wakuu kwema.. Hivi hawa watu nyie mnawezaje kuishi nao? Mbona ni watu wenye uelewa mdogo sana na huu mchezo wa soka?
Kuna jamaa zangu ni mashabiki wa Simba hapo juzi kabla ya mchezo wa Simba na Prisons walikuwa wakisema Simba ni timu tishio Africa, Aly Ahly, Mamelodi, Tp Mazembe wote kwa sasa wanaiogopa Simba, timu yeyote itayokuja mbele yao itapigwa goli kuanzia 6 na kuendelea..

Sasa mara baada ya mechi kuisha na Simba kupigwa goli 2-1 Maneno yao yamegeuka, utawasikia ooh Simba ni hovyo sana, pale hakuna timu, Uongozi haufai, tumesajili magarasa. Wengine wakaenda mbali zaidi na kusema timu nzima imejaza wazee, mara yule benchikha hamna kocha pale anabebwa na uwezo wa Chama tu....

Hivi nyie huko mtaani kwenu mnawezaje kuishi na viumbe vigeugeu wa namna hii??
Aahaaaaa

Tunawavumilia
 
Mimi huwa nawafananisha mashabiki wa Simba na madereva bodaboda
Bora dereva bodaboda, ana fanya kazi ya kujipatia kipato ili asiwe maskini Kama wewe unayekalisha mapumbu yako kwa shemeji yako ukisubiri akuletee chakula mezani.
 
Back
Top Bottom