Mahmoud Shariff Qaasim
JF-Expert Member
- Nov 3, 2007
- 923
- 267
umeongea mbolea, kama yeye HEADACHE wewe PANADOLNawe kuwa PANADOL!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
umeongea mbolea, kama yeye HEADACHE wewe PANADOLNawe kuwa PANADOL!
Haaa haaa eti DS umenikumbusha kademu ( lecturer) ka IFM kalikuwa kanatundisha hilo somoUkute mdada wa kichaga na ana advanced diploma au bachelor degree ya kuunga unga kaSoma zake Topic za Gender kwenye DS. Ukajichanganya ukaoa. Utajuta.
Hahaahaa!!hebu mtupishe, kuna watu wanavumilia kwenye ndoa kama wanawake? tena sio kumvumilia mume tu, unamvumilia mume, wakwe, mawifi na mashemji, tatizo lenu wanaume mnapenda kuabudiwa na hizo zama za mama zetu na bibi zetu zilishapita na wao walikuwa na haki ya kuwanyeyekea sababu walikuwa wanakaa tu nyumbani kazi kuu ni kuzaa na kulea na kumuhudumia mume, sasahv nimwendo wa sawa kwa sawa, haiwezekani wote tunatoka asubuhi kila siku tunarudi wote jioni mwisho wa mwenzi wote tunaleta mezani mishahara, alafu utake kujifanya mfalme wa nyumba. Maisha ya sasa ni kusikilizana na kuelewana kiustaarabu tu nyumba itaenda ila ukileta ubabe kweli ndoa utaiona chungu
Wagalatia tatizo lao wanapumbazwa na katazo la talaka. hivyo mwanamke akishaolewa anajisahau na kubwabwaja chochote anachojisikia.Wake zetu ni lini mtajitambua na kuacha makelele?
Dawa ni kumpeleka ubalozini tu.Mungu aniepushie mbali mana wangu akinifanyia hivyo masaa24 ni machache anaachia ngazi navuta chuma kipyaa tena mashine zaidi.
Sijakuelewa unaposema soon tunarudi kule kule kwa mababu na bibi zetu, unamaanisha soon wanawake wataacha kusoma na kufanya kazi na kubakia kuwa housewives tu? imepitishwa wapi hiyo na lini? na unaposema eti wanaume ndo wanaotupa uhuru wa kusoma na kufanya kazi unamaana gani? manake wanaotusomesha ni wazazi wetu, sasa unaposema tunaruhusiwa na wanaume sikuelewi. Hatukuumbwa kumfurahisha binadamu yoyote bali kupeana kampani manake adam alionekana mpwekeHahaahaa!!
Mkuu umeongea kwa hisia kweli.
Labda nikufahamishe tuu, hata Mwanamke angekuwa ni Mungu bado hawezi kuwa sawa na Mwanaume.
Kinachotokea ni matokeo ya majaribio ya kimabadiliko tuu ya mienendo ya Tabia za aina binadamu. Ila soon tutarudi kule kule katika zama za Babu na Bibi zetu hivyo Usiongee usiyoyajua. Kwa maana hata wanaowapa uhuru wa kufanya hayo ni hao hao wanaume. Wao ndio huamua wawasomesheni mupate kazi ili muwasaidie katika uchumi.
Hivyo kuleta usawa kati ya mwanaume na mwanamke ni kwa waliopungukiwa na ufahamu wa kinachoendelea duniani.
Ikumbukwe pia sio sahihi kumnyanyasa au kumtesa mwanamke kwani wao waliumbwa kutufurahisha sisi
Don't punic my dear.Sijakuelewa unaposema soon tunarudi kule kule kwa mababu na bibi zetu, unamaanisha soon wanawake wataacha kusoma na kufanya kazi na kubakia kuwa housewives tu? imepitishwa wapi hiyo na lini? na unaposema eti wanaume ndo wanaotupa uhuru wa kusoma na kufanya kazi unamaana gani? manake wanaotusomesha ni wazazi wetu, sasa unaposema tunaruhusiwa na wanaume sikuelewi. Hatukuumbwa kumfurahisha binadamu yoyote bali kupeana kampani manake adam alionekana mpweke
Kwan unafikiri waliokuwa wanawaruhusu wasisome ni kina nani? Au unafikiri aliyewapa Uhuru kuongea ni nani na nani atawanyima Uhuru.Sijakuelewa unaposema soon tunarudi kule kule kwa mababu na bibi zetu, unamaanisha soon wanawake wataacha kusoma na kufanya kazi na kubakia kuwa housewives tu? imepitishwa wapi hiyo na lini? na unaposema eti wanaume ndo wanaotupa uhuru wa kusoma na kufanya kazi unamaana gani? manake wanaotusomesha ni wazazi wetu, sasa unaposema tunaruhusiwa na wanaume sikuelewi. Hatukuumbwa kumfurahisha binadamu yoyote bali kupeana kampani manake adam alionekana mpweke
wala sijapanic nimejibu maswali na kuuliza yale ambayo sijayaelewa, ila wewe unaonekana ndo wale wa mfumo dume, pole yake utakaekuwa mumewe au kama unae mke tayari nampa pooole maana kapatwaDon't punic my dear.
Huwezi elewa kwa ubongo wa Nyama.
Kwan unafikiri waliokuwa wanawaruhusu wasisome ni kina nani? Au unafikiri aliyewapa Uhuru kuongea ni nani na nani atawanyima Uhuru.
Sitetei unyanyasaji wa baadhi ya wanaume wajinga wanaoufanya kwenu.