franktemu123
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 1,406
- 1,475
mnaboa mpaka basi. yaani kuna wakati una ny.ege lakini mke full kununa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waislam ni wachumi by nature. Sasa kwa nini tusiwatumie kututoa kwenye mdodoro huu.Hata huo mkeka ukifika makaburini nnarudi nao na kwenda kulalia mliopo hai
iko vzr zaidi ya unavyoweza kufikiriYaaan we dada kwa andika lako ili nashawishika kuamini adi sasa ushaachika au unakaribia kuachika au ndoa yako iko motoo.
Sio Wachumi Ni Wavivu By Nature, Wapenda Bata Na MisaadaWaislam ni wachumi by nature. Sasa kwa nini tusiwatumie kututoa kwenye mdodoro huu.
ila imani yao ya kuruhusu kuoa mpaka wake wanne kwa pamoja na ruhusa ya talaka (kwa wote wanne) na kuruhusiwa kuanza upya ni jambo zuri. Halipaswi kupuuzwa hata kidogo.Sio Wachumi Ni Wavivu By Nature, Wapenda Bata Na Misaada
Nianze kwa kusema mimi ni kijana wa miaka 35 sasa, nimeoa mwaka wa 6 huu, na nina watoto wawili, ila ujumbe wangu wa leo vijana mnapoamua kuoa muwe mmemaanisha hawa wake zetu unahitaji akili ya ziada kuishi nao wengi wana upeo wa chini sana na wasahaulifu kupitiliza.
Hivyo kijana usipokuwa muelewa unaweza kuwa unagombana nao kwa sababu ambazo unaweza kuziepuka.
NB: Binafsi katika miaka hiyo ya ndoa nimejifunza na kushuhudia mengi upo wakati nilitaka kuachana na mke wangu kwa kelele zake na kutofuata ninachotaka mimi. Ila baadae nikaamua kumpotezea nimeamua kuwa kimya kama mjinga flani hivi ila akili kumkichwa.
UPDATE: 22 Novemba 2016
Wake zetu tunawapenda sana ila mnaongea mno kupitiliza. Binafsi situmii kilevi, wala si mtu outgoing kivile isipokuwa mara chache nikiwa na pesa kidogo tunatafuta outing na familia ufukweni au nje ya mji Bagamoyo ama Lushoto au Arusha. Lakini sasa huyu mke wangu yeye hataki nifanye kazi na mwanamke yeyote, duuh! Hili kwangu haliwezekani maana kwa kazi yangu nakutana na wengi (wanaume & wanawake).
Pia usafi chumbani ni ovyo ovyo si usafi wa kitanda wala nguo za ndani, nimezungumza mpaka nimechoka, kuna wakati fulani dada wa kazi eti alikuwa anafanya usafi chumbani kwetu, bila kuingilia kati huenda angepewa na cchuup afue.
Nimeamua kuwa mhanga nafua nguo za ndani ninazozikuta kwenye tenga (zikiwemo zake) na kufanya usafi chumbani.
**Ila akili kichwani asee hapa nimechamba nimeibuka na nnyaa.
27 Januari, 2017
Miaka kadhaa ya NDOA, nina USHUHUDA
Mimi Kinachonifurahisha Ni Kwamba Kama Umempenda Demu, Unatafuta Mshenga, Anapeleka Posa Hata Tsh 50,000 Na Pesa Ya Miwani Ya Msomaji Wa Barua Tsh 15,000. Then Baada Ya Hapo Unatambulika Kama Mume Kwao Na Unaweza Kwenda Kwao Siku Yoyote Muda Wowote Kula Mzigo Na Kumzalisha Kabisa For Only Tsh 65,000/=ila imani yao ya kuruhusu kuoa mpaka wake wanne kwa pamoja na ruhusa ya talaka (kwa wote wanne) na kuruhusiwa kuanza upya ni jambo zuri. Halipaswi kupuuzwa hata kidogo.
Mkuu nimekupm(mtoto wa mjini) huko kyela ni majanga kimombo wanawaita "power monger" na hili linaanzia kwao kwa wazazi wake, kila kitu chako wazazi watajua. chunguza kuanzia wakati wa mahari, send off na harusi. ningekushauri kama kuna ulazima wa kuoa mkoa wa mbeya japo uje TUKUYU au maeneo ya SONGWE ukielekea TUNDUMA ndo kuna afadhali kidogo. Vinginevyo Mbeya unaenda kununua Ugonjwa wa Moyo.