Kuishi na mke kunataka uvumilivu wa chuma

Kuishi na mke kunataka uvumilivu wa chuma

wala sijapanic nimejibu maswali na kuuliza yale ambayo sijayaelewa, ila wewe unaonekana ndo wale wa mfumo dume, pole yake utakaekuwa mumewe au kama unae mke tayari nampa pooole maana kapatwa
Ntampa pole wifiako Mkuu.

Sikia ewe binti, historia yangu inawatambua wanawake Sana. Ndio walionilea, walinitunza na walionipa maarifa mengi baada ya Baba yang kunitelekeza nikiwa mchanga kabisa.

Nawaheshimu kuliko unavyoweza kusema. Nawapenda na sitokuja kuwaumiza.

Hata kwenye mahusiano yangu sijawahi kumuumiza mwanamke yeyote kwani huwa nahisi namtonesha Mama angu.

Ila linapokuja suala la mwanaume na haki na wajibu wake ambao unaingiliwa na Mwanamke kwakweli sitokaa kimya.

Najua nini mwanamke Kama wewe unataka, hivyo kuilinda furaha yako ni jambo dogo kwangu
 
Ntampa pole wifiako Mkuu.

Sikia ewe binti, historia yangu inawatambua wanawake Sana. Ndio walionilea, walinitunza na walionipa maarifa mengi baada ya Baba yang kunitelekeza nikiwa mchanga kabisa.

Nawaheshimu kuliko unavyoweza kusema. Nawapenda na sitokuja kuwaumiza.

Hata kwenye mahusiano yangu sijawahi kumuumiza mwanamke yeyote kwani huwa nahisi namtonesha Mama angu.

Ila linapokuja suala la mwanaume na haki na wajibu wake ambao unaingiliwa na Mwanamke kwakweli sitokaa kimya.

Najua nini mwanamke Kama wewe unataka, hivyo kuilinda furaha yako ni jambo dogo kwangu
haki na wajibu unaoongelea wewe ni upi? naomba urudie kuisoma topic na comment yangu ya kwanza kabisa iliyoleta haya, then utaelewa nasema nini, naujua wajibu wangu kama mke lakini pia nazijua haki zangu kama mwanamke, sitaki kupelekeshwa wala kuwa treated kama object isiyojitambua.
 
haki na wajibu unaoongelea wewe ni upi? naomba urudie kuisoma topic na comment yangu ya kwanza kabisa iliyoleta haya, then utaelewa nasema nini, naujua wajibu wangu kama mke lakini pia nazijua haki zangu kama mwanamke, sitaki kupelekeshwa wala kuwa treated kama object isiyojitambua.
Mwanaume siku hizi anapokwa haki ya kimamlaka ndani familia.
Wanawake wengi(si wote) siku hizi hutaka kuwa na sauti ndani ya Nyumba zao.
Japokuwa wanaume wa siku hizi wengi ni wazembe na wavivu
 
me sihitaji kuwa na sauti, nataka tusikilizane tu baaasi hapo tutaishi kwa amani kabisa na wala hutanisikia
Unajua kwa nini wanawake wa siku hizi hugombana na waume zao??

Kama mngemuiga Hawa aliyesikilizwa na Adamu.
Delila aliyesikilizwa na Samson mngekuwa mbali Sana.
Sasa nyie baadhi yenu eti mnapambana na Mwanaume, chaaaa!! Upuuzi tuu.

Mwanaume akishahisi unajilinganisha nae hamtoelewana wala kusikilizana.
 
Mimi nadhani kuishi pamoja kama mume na mke ndo kunahitaji uvumilivu.

Wote mvumiliane na sio uvumilivu uwe wa upande mmoja tu.

Kumwona mwenzio ndiye mwenye mapungufu na wewe kujiona uko timilifu nayo ni mapungufu.
Huu ni ukweli usiopingika aisee. Sijui mtoa mada amekuelewa
 
Back
Top Bottom