Kuishi na mke kunataka uvumilivu wa chuma

Kuishi na mke kunataka uvumilivu wa chuma

Ukitaka amani katika familia ni lazima baba awe kichwa yaani mfalme.yaani mfumo dume. Haiwezekani basi bora umkabidhi madaraka tu. Vitabu vitakatifu havikukosea kumpa mamlaka baba. Wanawake mtusamehe lakini ndio ukweli hakuna balance sheet kati ya mume na mke kwisha!

Msianze kuuliza vipato vyetu pia .
 
makubwa mmeanza kuwasema huku...watawanyoosha hakika ....kuna waliooa wanafurahia hawakuwahi hata kujutia kuwaoa wake zao na kuna ambao wanajutia kuoa hahaha..halafu hapo vuta picha na mwanamke ulimwacha bila sababu na alikuonyesha upendo wa dhati halafu ukamwona kama bwege,,,hapo lazima umkumbuke,,,,,tehteh....uwiii
Binti wa kirombo hujambo
 
Unapoamua kuingia kwenye ndoa unatakiwa uwe tayari kimwili na kiakili katika kukabiliana na changamoto za ndoa......

Tofauti iliyopo ya ndoa za sasa na zamani ni kuwa vijana wa sasa wanaingia kwenye ndoa wakiwa tayari kimwili nikiwa na maana ya mihemko na sio kiakili.....

Ndio maana miaka ya nyuma kulikuwa na sherehe za unyago kwa watoto wa kike na sherehe za jando kwa watoto wa kiume.....

Kutokana na mageuzi ya kimfumo kwenye maisha ya kijamii imepelekea mila hizo kupuuzwa kama sio kuachwa kabisa.....

Na haya ni moja ya madhara yake....

Maisha ya ndoa yanataka uvumilivu kwa kuwa ni maisha ya watu wawili wenye mapungufu na sio wakamilifu......

Ukiwa umeingia umejiandaa kiakili utakuwa madhubuti kukabiliana na changamoto hizo......
 
Sio kuishi na mke tu hata kuishi na mume pia uvumilivu unahitajika tena uwe na hofu na mungu ndo kidooogo utafalu la sivyo utauona moto, na hio yote inaletwa na kutofanya maamuzi sahihi, kukurupuka kuolewa au kuoa kila mmepeana mimba au kutaka watu waone nawe umeoa au umeolewa. Mbaya sana kuoa au kuolewa na mtu ambaye sio rafiki yako mzuri, u will suffer.
 
Nianze kwa kusema mimi ni kijana wa miaka 35 sasa, nimeoa mwaka wa 6 huu, na nina watoto wawili, ila ujumbe wangu wa leo vijana mnapoamua kuoa muwe mmemaanisha hawa wake zetu unahitaji akili ya ziada kuishi nao wengi wana upeo wa chini sana na wasahaulifu kupitiliza.

Hivyo kijana usipokuwa muelewa unaweza kuwa unagombana nao kwa sababu ambazo unaweza kuziepuka.

NB: Binafsi katika miaka hiyo ya ndoa nimejifunza na kushuhudia mengi upo wakati nilitaka kuachana na mke wangu kwa kelele zake na kutofuata ninachotaka mimi. Ila baadae nikaamua kumpotezea nimeamua kuwa kimya kama mjinga flani hivi ila akili kumkichwa.

cc. Sekretarieti ya Ndoa Mkoa wa KILIMANJARO.

wewe bwana ndugu wanazaliwa tumbo moja ila kila mtu anakuwa na tabia zake sembuse watu mmekutana tuu kila mtu na makuzi yake. alafu bwana hawa wanawake wewe ukioa ukitegemea sijui kusaidiana na mambo kama hayo itakula kwako. wewe nenda na philosophy kuwa wanawake ni burudani tuu. wewe gegeda bassssssssssss
 
hebu mtupishe, kuna watu wanavumilia kwenye ndoa kama wanawake? tena sio kumvumilia mume tu, unamvumilia mume, wakwe, mawifi na mashemji, tatizo lenu wanaume mnapenda kuabudiwa na hizo zama za mama zetu na bibi zetu zilishapita na wao walikuwa na haki ya kuwanyeyekea sababu walikuwa wanakaa tu nyumbani kazi kuu ni kuzaa na kulea na kumuhudumia mume, sasahv nimwendo wa sawa kwa sawa, haiwezekani wote tunatoka asubuhi kila siku tunarudi wote jioni mwisho wa mwenzi wote tunaleta mezani mishahara, alafu utake kujifanya mfalme wa nyumba. Maisha ya sasa ni kusikilizana na kuelewana kiustaarabu tu nyumba itaenda ila ukileta ubabe kweli ndoa utaiona chungu
Doh!
Itabidi kwa mwendo huo wa pasu kwa pasu itabidi pia muanze kukojoa mkiwa mmesimama kama sisi
 
hebu mtupishe, kuna watu wanavumilia kwenye ndoa kama wanawake? tena sio kumvumilia mume tu, unamvumilia mume, wakwe, mawifi na mashemji, tatizo lenu wanaume mnapenda kuabudiwa na hizo zama za mama zetu na bibi zetu zilishapita na wao walikuwa na haki ya kuwanyeyekea sababu walikuwa wanakaa tu nyumbani kazi kuu ni kuzaa na kulea na kumuhudumia mume, sasahv nimwendo wa sawa kwa sawa, haiwezekani wote tunatoka asubuhi kila siku tunarudi wote jioni mwisho wa mwenzi wote tunaleta mezani mishahara, alafu utake kujifanya mfalme wa nyumba. Maisha ya sasa ni kusikilizana na kuelewana kiustaarabu tu nyumba itaenda ila ukileta ubabe kweli ndoa utaiona chungu
Wrong!
 
makubwa mmeanza kuwasema huku...watawanyoosha hakika ....kuna waliooa wanafurahia hawakuwahi hata kujutia kuwaoa wake zao na kuna ambao wanajutia kuoa hahaha..halafu hapo vuta picha na mwanamke ulimwacha bila sababu na alikuonyesha upendo wa dhati halafu ukamwona kama bwege,,,hapo lazima umkumbuke,,,,,tehteh....uwiii
Kiongozi haiwezekani!!!
Usipate msuko suko wowote kwenye ndoa!!!
Hawa viumbe sio wa kawaida kabisaaa!!!
 
Nianze kwa kusema mimi ni kijana wa miaka 35 sasa, nimeoa mwaka wa 6 huu, na nina watoto wawili, ila ujumbe wangu wa leo vijana mnapoamua kuoa muwe mmemaanisha hawa wake zetu unahitaji akili ya ziada kuishi nao wengi wana upeo wa chini sana na wasahaulifu kupitiliza.

Hivyo kijana usipokuwa muelewa unaweza kuwa unagombana nao kwa sababu ambazo unaweza kuziepuka.

NB: Binafsi katika miaka hiyo ya ndoa nimejifunza na kushuhudia mengi upo wakati nilitaka kuachana na mke wangu kwa kelele zake na kutofuata ninachotaka mimi. Ila baadae nikaamua kumpotezea nimeamua kuwa kimya kama mjinga flani hivi ila akili kumkichwa.

cc. Sekretarieti ya Ndoa Mkoa wa KILIMANJARO.
Sawa, na sisi wanawake tumekuelewa, ishini nasi kwa akili
 
Sana sana aisee.... Wanawake ni headeck
Kama ni head ache si uachana nae, kwani umelazimishwa, ukiona hauna peace of mind, unacahapa tu lapa, why ujitese mkuu kwa mtoto wa mwenzako?
 
Back
Top Bottom