Patience123
JF-Expert Member
- Mar 10, 2013
- 5,092
- 8,784
Exactly...Tatizo ni hatuwezi kubebeana madhaifu yetu ndo maana misuguano haishi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Exactly...Tatizo ni hatuwezi kubebeana madhaifu yetu ndo maana misuguano haishi
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Infact kunamuhusu...
kuna member humu wana chama cha wanaume walio oa Machame na Unyakyusani..
Wanataka wafahamiane ili mmojawao akirestishwa in peace members wenzake wakazikomboe mali zake kwenye mikono ya warestishaji..
Teh
Eti bi mkubwa si wametuonea jamani? ??[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Haki humu duniani kuna vituko.
Wewe kweli wamekuonea, i can only speak for you[emoji12] [emoji12]Eti bi mkubwa si wametuonea jamani? ??
Shkamoo Kiswahili.Apo ukimwi razima muuvune tu tena wakutosha kama mtadhindana
Hata tukigombana hawatajuaEti bi mkubwa si wametuonea jamani? ??
Marahabaaa!Shkamoo Kiswahili.
Nyani we ni noma kila kitu unajua, yo very smart.Mimi nadhani kuishi pamoja kama mume na mke ndo kunahitaji uvumilivu.
Wote mvumiliane na sio uvumilivu uwe wa upande mmoja tu.
Kumwona mwenzio ndiye mwenye mapungufu na wewe kujiona uko timilifu nayo ni mapungufu.
Nyani we ni noma kila kitu unajua, yo very smart.
Thanks darlinHata tukigombana hawatajua
Haha umeanzaaaaa! !!Wewe kweli wamekuonea, i can only speak for you[emoji12] [emoji12]
tehe tehe tehe teheVijana msifikir ndoa ni kucheza kwaito na kutuma picha instagram. Kwa wale waliooa kabila lililopo pembezoni mwa mlima mrefu Afrika na kule Kyela moto tunauona!
Wewe maliza.[emoji8] [emoji8] [emoji8]Haha umeanzaaaaa! !!
wachache sana, nyingi nimeona mie nilipokuja kuoa nikaexperience hicho kitumakubwa mmeanza kuwasema huku...watawanyoosha hakika ....kuna waliooa wanafurahia hawakuwahi hata kujutia kuwaoa wake zao na kuna ambao wanajutia kuoa hahaha..halafu hapo vuta picha na mwanamke ulimwacha bila sababu na alikuonyesha upendo wa dhati halafu ukamwona kama bwege,,,hapo lazima umkumbuke,,,,,tehteh....uwiii