Kuishi na mke kunataka uvumilivu wa chuma

Kuishi na mke kunataka uvumilivu wa chuma

Infact kunamuhusu...

kuna member humu wana chama cha wanaume walio oa Machame na Unyakyusani..

Wanataka wafahamiane ili mmojawao akirestishwa in peace members wenzake wakazikomboe mali zake kwenye mikono ya warestishaji..

Teh
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Haki humu duniani kuna vituko.
 
siku hizi wanaume uvumilivu umetushinda kutwa tunalalama kwenye mitandao tuu,kutishia watu kuhusu ndoa kama yamekushinda ni kwako sio kwakila mtu sasa wewe na umri wako huo ukaenda kutongoza facebook na kesho ukatangaza ndo unategemea nini
 
Ungetoa mifano ya unayokutana nayo ungeeleweka zaidi kuliko kuwatisha vijana ambao hawajaoa.
 
makubwa mmeanza kuwasema huku...watawanyoosha hakika ....kuna waliooa wanafurahia hawakuwahi hata kujutia kuwaoa wake zao na kuna ambao wanajutia kuoa hahaha..halafu hapo vuta picha na mwanamke ulimwacha bila sababu na alikuonyesha upendo wa dhati halafu ukamwona kama bwege,,,hapo lazima umkumbuke,,,,,tehteh....uwiii
wachache sana, nyingi nimeona mie nilipokuja kuoa nikaexperience hicho kitu
 
Back
Top Bottom