Kuishi na mke kunataka uvumilivu wa chuma

Kuishi na mke kunataka uvumilivu wa chuma

hebu mtupishe, kuna watu wanavumilia kwenye ndoa kama wanawake? tena sio kumvumilia mume tu, unamvumilia mume, wakwe, mawifi na mashemji, tatizo lenu wanaume mnapenda kuabudiwa na hizo zama za mama zetu na bibi zetu zilishapita na wao walikuwa na haki ya kuwanyeyekea sababu walikuwa wanakaa tu nyumbani kazi kuu ni kuzaa na kulea na kumuhudumia mume, sasahv nimwendo wa sawa kwa sawa, haiwezekani wote tunatoka asubuhi kila siku tunarudi wote jioni mwisho wa mwenzi wote tunaleta mezani mishahara, alafu utake kujifanya mfalme wa nyumba. Maisha ya sasa ni kusikilizana na kuelewana kiustaarabu tu nyumba itaenda ila ukileta ubabe kweli ndoa utaiona chungu

Soma maneno mekundu kama sentensi moja, hayo ndio mawazo yako bila kuremba remba. Aliyeitengeneza hii DUNIA aliitengenezea na INSTRUCTION MANUAL yake, kama inasema hivyo unavyowaza, basi uko sawa.
 
Wacha nionekane fwala sipungui chochote.
NB: LOLOTE LAWEZA KUTOKEA!!
 
as i always say NDOA za siku hizi zimejaa unafki sana

Kama kweli unampenda mtu/una upendo wa kweli kwake huwezi kumuudhi hata sekunde na hata ikitokea umeteleza lazima utatafuta kila njia ya kuirudisha AMANI upya

Kabla hata hujafanya upuuzi wako u will be concern na je mwenzako atalipokeaje hilo jambo akija kusikia au kuona???
 
Hata Wanaumme wengine tafran na visirani sanaaaaa sema muhimu ni kuwavumilia tuu wengine wabishi hata ukiwambia leo J'4 wanabisha ila tuwachukulie manake wanawake tuna subra yakutosha na uvumilivu...
Dada, hilo wao hawalioni..

Tatizo hii jinsia wanajiona wakamilifu mnoo..

Mimi ninaamini mke akiwa mkorofi, ana makelele, basi tatizo liko kwa mwanaume.. ana react against tabia za huyo mwanaume,badala ya kuangalia tatizo liko wapi watatue wanakimbilia jf kuwaponda wanawake wote.

Kuna wanaume pasua kichwa acha kabisa. Vichaa vichaa vichaa.
 
Dada, hilo wao hawalioni..

Tatizo hii jinsia wanajiona wakamilifu mnoo..

Mimi ninaamini mke akiwa mkorofi, ana makelele, basi tatizo liko kwa mwanaume.. ana react against tabia za huyo mwanaume,badala ya kuangalia tatizo liko wapi watatue wanakimbilia jf kuwaponda wanawake wote.

Kuna wanaume pasua kichwa acha kabisa. Vichaa vichaa vichaa.
Ukiolewa jf taabu,usipoolewa jf taabu na ukizaa bado tena jf ni taabu.
Inshort ukiwasikiiza watu humu maisha yanaweza yakasimama.

Wanaume wa jf wao ni malaika,wakosaji ni wanawake tu. Hivi wake zao hawana hata jema moja huko angalau watuletee!!!!
 
Ukiolewa jf taabu,usipoolewa jf taabu na ukizaa bado tena jf ni taabu.
Inshort ukiwasikiiza watu humu maisha yanaweza yakasimama.

Wanaume wa jf wao ni malaika,wakosaji ni wanawake tu. Hivi wake zao hawana hata jema moja huko angalau watuletee!!!!
Wake zao ndio sisi wanaotuponda kila uchao...

Wamesahau kuwa sisi ndio mama zao pia, ina maana hatuna hata jema moja kwao?

Wanashangaza...
 
Wake zao ndio sisi wanaotuponda kila uchao...

Wamesahau kuwa sisi ndio mama zao pia, ina maana hatuna hata jema moja kwao?

Wanashangaza...
Basi acha tu tuwavuruge vizuri ili wapate cha kuongea vizuri, maana wana gubu mawifi wanasubiri.
 
Nianze kwa kusema mimi ni kijana wa miaka 35 sasa, nimeoa mwaka wa 6 huu, na nina watoto wawili, ila ujumbe wangu wa leo vijana mnapoamua kuoa muwe mmemaanisha hawa wake zetu unahitaji akili ya ziada kuishi nao wengi wana upeo wa chini sana na wasahaulifu kupitiliza.

Hivyo kijana usipokuwa muelewa unaweza kuwa unagombana nao kwa sababu ambazo unaweza kuziepuka.

NB: Binafsi katika miaka hiyo ya ndoa nimejifunza na kushuhudia mengi upo wakati nilitaka kuachana na mke wangu kwa kelele zake na kutofuata ninachotaka mimi. Ila baadae nikaamua kumpotezea nimeamua kuwa kimya kama mjinga flani hivi ila akili kumkichwa.

UPDATE: 22 Novemba 2016
Wake zetu tunawapenda sana ila mnaongea mno kupitiliza. Binafsi situmii kilevi, wala si mtu outgoing kivile isipokuwa mara chache nikiwa na pesa kidogo tunatafuta outing na familia ufukweni au nje ya mji Bagamoyo ama Lushoto au Arusha. Lakini sasa huyu mke wangu yeye hataki nifanye kazi na mwanamke yeyote, duuh! Hili kwangu haliwezekani maana kwa kazi yangu nakutana na wengi (wanaume & wanawake).

Pia usafi chumbani ni ovyo ovyo si usafi wa kitanda wala nguo za ndani, nimezungumza mpaka nimechoka, kuna wakati fulani dada wa kazi eti alikuwa anafanya usafi chumbani kwetu, bila kuingilia kati huenda angepewa na cchuup afue.

Nimeamua kuwa mhanga nafua nguo za ndani ninazozikuta kwenye tenga (zikiwemo zake) na kufanya usafi chumbani.
**Ila akili kichwani asee hapa nimechamba nimeibuka na nnyaa
Kama unaogopa talaka epuka kuoa haraka...ukifika 40 Kwa mtindo huo bp lazima
 
Dada, hilo wao hawalioni..

Tatizo hii jinsia wanajiona wakamilifu mnoo..

Mimi ninaamini mke akiwa mkorofi, ana makelele, basi tatizo liko kwa mwanaume.. ana react against tabia za huyo mwanaume,badala ya kuangalia tatizo liko wapi watatue wanakimbilia jf kuwaponda wanawake wote.

Kuna wanaume pasua kichwa acha kabisa. Vichaa vichaa vichaa.
Hua nashangaa sanaa,sidhani kama wanajua umuhimu wa mwanamke au thamani yake,inahitaji mwanamme alokua na hekma sana kuelewa jinsi gani atatue tatizo la nyumbani kwake,mwanamke anahitaji kubembelezwa, kudekezwa,kwa maneno matamu lakini wanaume wengine Kama vile wakojeshini na mkewe time yote sura kaikunja kama anakunywa shubiri,akiingia ndani amani hakuna mpaka Paka anakimbia...
 
Najiandaa kuoa huko kyela mkuu...nipe hints before its too late
Kama unampenda mchumba wako muoe, ubaya ni suala la mtu mmoja mmoja wala halina uhusiano na kabila, ni wengi wameoa huko kunakopigwa vita na wana maelewano mazuri tu na maendeleo makubwa.

Usipende kuchukua mifano kutoka kwa watu waliofeli, always wataponda, jifunze kwa waliofaulu, always watakutia moyo.
 
Ndoa nijambo jema na lakupendeza kwa Mungu mkiishi kadir ya mapenz ya Mungu sasa kwakuwa mkiishi vyemaa shetan anaona wivu anataka kudivert mambo sa pasipo kuomba na kuvumilia lazma ukimbie. Mungu na kuomba ndo kila kituu
 
(mtoto wa mjini) huko kyela ni majanga kimombo wanawaita "power monger" na hili linaanzia kwao kwa wazazi wake, kila kitu chako wazazi watajua. chunguza kuanzia wakati wa mahari, send off na harusi. ningekushauri kama kuna ulazima wa kuoa mkoa wa mbeya japo uje TUKUYU au maeneo ya SONGWE ukielekea TUNDUMA ndo kuna afadhali kidogo. Vinginevyo Mbeya unaenda kununua Ugonjwa wa Moyo.
 
Back
Top Bottom