Kuishi na mke kunataka uvumilivu wa chuma

Kuishi na mke kunataka uvumilivu wa chuma

Dawa yao ni kuongeza mke mwingi kwisha habari yao
 
Hakuna Mwanaume yoyote amae ameoa hajawahi au hatoumizwa na mwanamke aliemuoa, hayupo, kama yupo basi ni mume bwege au hajitambui au amejitia ukiziwi au upofu kupisha mambo yapite.

sijawahi kuona hiyo
Ukitaka amani katika familia ni lazima baba awe kichwa yaani mfalme.yaani mfumo dume. Haiwezekani basi bora umkabidhi madaraka tu. Vitabu vitakatifu havikukosea kumpa mamlaka baba. Wanawake mtusamehe lakini ndio ukweli hakuna balance sheet kati ya mume na mke kwisha!

tunawaheshimu sana nyie waume zetu japo sijaolewa ..mkiheshimiwa sana mnatuona bwege...lakini Mume nitamuheshimu sana..hatajutia kunioa
 
Nafikiria kuhamia Australia kimya kimya. Labda huko nitapata akili mpya. Kuepukana na stress zs bi mkora
 
Kuna wataalamu walidai, ukitaka kuishi na mke ni lazima uwe kichaa.. namaanisha unaweza kuwa prof, mheshimiwa, au kiongozi yeyote ilalinapo fikamuda wa kuwasiliana au ku contact na hawa viumbe chukua akili zako weka kwenye safe. Hio itasaidia mno..
 
Ndoa ni shida sana ila kwa kuvumiliana huku MUNGU akitawala maisha yetu mtavuka salama.Ukiwa na muda pitia maandiko haya.
Aina ya wanawake ambao ni hatari kwako.(Soma Mithali 21:09, na 21:19).
Mke mwema anatoka wapi(Soma Mithali 19:14)
Sifa za mke mwema(soma Mithali 31:10-31)
Wanawake wenye busara(1 samweli 25:2-42).
Jinsi ambavyo wanandoa wanapaswa kuishi(1Petro 3:1-11)
Nimatumaini yangu ukisoma utajifunza kitu maishani mwako. MUNGU atujalie wepesi kwenye ndoa zetu
 
Nianze kwa kusema mimi ni kijana wa miaka 35 sasa, nimeoa mwaka wa 6 huu, na nina watoto wawili, ila ujumbe wangu wa leo vijana mnapoamua kuoa muwe mmemaanisha hawa wake zetu unahitaji akili ya ziada kuishi nao wengi wana upeo wa chini sana na wasahaulifu kupitiliza.

Hivyo kijana usipokuwa muelewa unaweza kuwa unagombana nao kwa sababu ambazo unaweza kuziepuka.

NB: Binafsi katika miaka hiyo ya ndoa nimejifunza na kushuhudia mengi upo wakati nilitaka kuachana na mke wangu kwa kelele zake na kutofuata ninachotaka mimi. Ila baadae nikaamua kumpotezea nimeamua kuwa kimya kama mjinga flani hivi ila akili kumkichwa.

UPDATE: 22 Novemba 2016
Wake zetu tunawapenda sana ila mnaongea mno kupitiliza. Binafsi situmii kilevi, wala si mtu outgoing kivile isipokuwa mara chache nikiwa na pesa kidogo tunatafuta outing na familia ufukweni au nje ya mji Bagamoyo ama Lushoto au Arusha. Lakini sasa huyu mke wangu yeye hataki nifanye kazi na mwanamke yeyote, duuh! Hili kwangu haliwezekani maana kwa kazi yangu nakutana na wengi (wanaume & wanawake).

Pia usafi chumbani ni ovyo ovyo si usafi wa kitanda wala nguo za ndani, nimezungumza mpaka nimechoka, kuna wakati fulani dada wa kazi eti alikuwa anafanya usafi chumbani kwetu, bila kuingilia kati huenda angepewa na cchuup afue.

Nimeamua kuwa mhanga nafua nguo za ndani ninazozikuta kwenye tenga (zikiwemo zake) na kufanya usafi chumbani.
**Ila akili kichwani asee hapa nimechamba nimeibuka na nnyaa
Umenigusa haswaa.ndoa kweli inataka uvumilivu sana na ni kazi kuliko kuwa na kazi katika serekali ya awamu ya tano
 
Kesi za wanaume kunyanyasika zimekua nyingi! Na wanawake nao wataanza kutoa madukuduku yao! Halafu mleta post kwenye ndoa ni uvumilivu tu basi maana hata nyie wanaume mnakosea pia! Au lah umeshindwa kabisa nenda kamshitaki kwao
 
Sio wote tulio na mke kama wewe. Pole kwa kupata mke wa aina hiyo. Mke wangu hana tabia hizo, ananiamini, ananiheshimu na ni msafi pia. Ana matatizo yake kama ambavyo mimi ninayo ya kwangu lakini tunavumiliana maisha yanasonga. Ndoa ni raha tu kwa upande wangu.
 
Isee yani ni zaidi ya uvumilivu,mi mke wangu wa ndoa isee akinipa malavidav usiku asubuhi ananidai hela,ukimuuliza anakwambia jana si nimekupa!isee
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Anakuuzia
 
Ianzishwe Mahakama Maalum kwa mashauri ya NDOA - Migogoro, mirathi n.k.
 
Nianze kwa kusema mimi ni kijana wa miaka 35 sasa, nimeoa mwaka wa 6 huu, na nina watoto wawili, ila ujumbe wangu wa leo vijana mnapoamua kuoa muwe mmemaanisha hawa wake zetu unahitaji akili ya ziada kuishi nao wengi wana upeo wa chini sana na wasahaulifu kupitiliza.

Hivyo kijana usipokuwa muelewa unaweza kuwa unagombana nao kwa sababu ambazo unaweza kuziepuka.

NB: Binafsi katika miaka hiyo ya ndoa nimejifunza na kushuhudia mengi upo wakati nilitaka kuachana na mke wangu kwa kelele zake na kutofuata ninachotaka mimi. Ila baadae nikaamua kumpotezea nimeamua kuwa kimya kama mjinga flani hivi ila akili kumkichwa.

UPDATE: 22 Novemba 2016
Wake zetu tunawapenda sana ila mnaongea mno kupitiliza. Binafsi situmii kilevi, wala si mtu outgoing kivile isipokuwa mara chache nikiwa na pesa kidogo tunatafuta outing na familia ufukweni au nje ya mji Bagamoyo ama Lushoto au Arusha. Lakini sasa huyu mke wangu yeye hataki nifanye kazi na mwanamke yeyote, duuh! Hili kwangu haliwezekani maana kwa kazi yangu nakutana na wengi (wanaume & wanawake).

Pia usafi chumbani ni ovyo ovyo si usafi wa kitanda wala nguo za ndani, nimezungumza mpaka nimechoka, kuna wakati fulani dada wa kazi eti alikuwa anafanya usafi chumbani kwetu, bila kuingilia kati huenda angepewa na cchuup afue.

Nimeamua kuwa mhanga nafua nguo za ndani ninazozikuta kwenye tenga (zikiwemo zake) na kufanya usafi chumbani.
**Ila akili kichwani asee hapa nimechamba nimeibuka na nnyaa
Pole sana mkuu kwa mapito unayopitia mkeo anapaswa kujua wajibu wake km mke ni aibu sana kwa chumba cha kulala mke na mme aingie dada kufanya usafi kufua mashuka yenu mataulo yenu nk...
Mke simama km mama ktk familia sio kila mda unachat mme kila sk anakula chakula cha dada mke ata sk moja kumpikia mmeo hakuna yako wapi mapenzi yale ya mama zetu paja la baba filigisi la baba
Mke jishushe kwa mmeo mheshimu mthamini mjali...
Nije kwa wanaume mnavyopenda kufanyiwa muwafanyie wake zenu pia mheshimu mjali mdekeze mpendee kn baadhi ya wanaume hata huwafanye nn hawaoni na hawathamini mchango wa mke kbs na ndio mnawakatisha kn mama tamaa wanaacha kujitoa kwenu.
Penda familia yako sana..

Mapungufu yako kwa wote hakuna mkamilifu Upendo unabeba yote...
Tengeni mda wa nyinyi kuongea kupanga mambo yenu. Sio unakuta baba kila sk yuko busy han mda wa mama wala watoto..

NB:USAFI WA MME NA NYUMBA VYUPI VYA BABA USAFI WA KILA PAHALI PA BABA NI KAZI YA MAMA UNAKUTA MWANAUME ANAMAKUCHA MANYWELE SHATI HALIELEWEKI NI AIBU KWA MKE...
 
Back
Top Bottom