Kuishi na mke kunataka uvumilivu wa chuma

Hii ndio wanaiita karma eti
 
Jioe mwenyewe..kama humpi heshima mme
 
Ndo mana mke hakupi mume wa kwenda ambiance bora ndoa ife. Wewe ni tatizo kwa ndoa yako kufa. Mkeo ndo mana ka kupuuza licha ya kununua za malaya bado huna amani. Ungekuwa mume wangu ningekunyoosha wallah
Ambiance nimeshakuwa STAFF kabisa hata kama sina hela nakopeshwa.
 
Ndo mana mke hakupi mume wa kwenda ambiance bora ndoa ife. Wewe ni tatizo kwa ndoa yako kufa. Mkeo ndo mana ka kupuuza licha ya kununua za malaya bado huna amani. Ungekuwa mume wangu ningekunyoosha wallah
Kwa taarifa tu nina mpango wa kumuweka ndani mtoto mzuri Zai 0754950913.
 
Sasa si umuweke mkuu. Hafu huyu changu huwa una msifia sana humu JF naona unamtaftia wateja kiujanja. Mkeo Nampa salute kunyoosha wapuuzi
Kwa taarifa tu nina mpango wa kumuweka ndani mtoto mzuri Zai 0754950913.
 
Tatizo sio kuchepuka bora ambaye Ana akili ya kutafta hela, sio wachepuka huku huna akili ya meandeleo bora ukafilie huko mbele.
Hela tu za nyumba,gari nzuri na Bata za hapa na pale zipo sana tuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…