Kuishi na mke kunataka uvumilivu wa chuma

Kuishi na mke kunataka uvumilivu wa chuma

makubwa mmeanza kuwasema huku...watawanyoosha hakika ....kuna waliooa wanafurahia hawakuwahi hata kujutia kuwaoa wake zao na kuna ambao wanajutia kuoa hahaha..halafu hapo vuta picha na mwanamke ulimwacha bila sababu na alikuonyesha upendo wa dhati halafu ukamwona kama bwege,,,hapo lazima umkumbuke,,,,,tehteh....uwiii
Hii ndio wanaiita karma eti
 
hebu mtupishe, kuna watu wanavumilia kwenye ndoa kama wanawake? tena sio kumvumilia mume tu, unamvumilia mume, wakwe, mawifi na mashemji, tatizo lenu wanaume mnapenda kuabudiwa na hizo zama za mama zetu na bibi zetu zilishapita na wao walikuwa na haki ya kuwanyeyekea sababu walikuwa wanakaa tu nyumbani kazi kuu ni kuzaa na kulea na kumuhudumia mume, sasahv nimwendo wa sawa kwa sawa, haiwezekani wote tunatoka asubuhi kila siku tunarudi wote jioni mwisho wa mwenzi wote tunaleta mezani mishahara, alafu utake kujifanya mfalme wa nyumba. Maisha ya sasa ni kusikilizana na kuelewana kiustaarabu tu nyumba itaenda ila ukileta ubabe kweli ndoa utaiona chungu
Jioe mwenyewe..kama humpi heshima mme
 
Ndo mana mke hakupi mume wa kwenda ambiance bora ndoa ife. Wewe ni tatizo kwa ndoa yako kufa. Mkeo ndo mana ka kupuuza licha ya kununua za malaya bado huna amani. Ungekuwa mume wangu ningekunyoosha wallah
Ambiance nimeshakuwa STAFF kabisa hata kama sina hela nakopeshwa.
 
Ndo mana mke hakupi mume wa kwenda ambiance bora ndoa ife. Wewe ni tatizo kwa ndoa yako kufa. Mkeo ndo mana ka kupuuza licha ya kununua za malaya bado huna amani. Ungekuwa mume wangu ningekunyoosha wallah
Kwa taarifa tu nina mpango wa kumuweka ndani mtoto mzuri Zai 0754950913.
 
Sasa si umuweke mkuu. Hafu huyu changu huwa una msifia sana humu JF naona unamtaftia wateja kiujanja. Mkeo Nampa salute kunyoosha wapuuzi
Kwa taarifa tu nina mpango wa kumuweka ndani mtoto mzuri Zai 0754950913.
 
Tatizo sio kuchepuka bora ambaye Ana akili ya kutafta hela, sio wachepuka huku huna akili ya meandeleo bora ukafilie huko mbele.
Hela tu za nyumba,gari nzuri na Bata za hapa na pale zipo sana tuu
 
Back
Top Bottom