Kuishi na mke kunataka uvumilivu wa chuma

Kuishi na mke kunataka uvumilivu wa chuma

Tunaachana, thats a bye bye ticket mbona! Yani mie nichoke kinachonipa amani na furaha? Uliona wapi mtu kachoka amani na furaha?

Kwa mwanamke mwenye hekima atajutia upumbavu aliofanya na atabadilika akiona umemuhama tena atahaha kweli kweli! Ila mshenzi ataona ndio ticket na ya yeye kwenda kuchepuka nje ya mji wake!
Mara nyingi mme ndiye huanza, sasa usitegemee mke naye atayavumilia tu labda nzwanzwa lakini mwenye utimamu lazima aumie tu, unajua mwanamke akisema nimechoka yaani anakuwa kachoka kweli

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
 
Mimi Kinachonifurahisha Ni Kwamba Kama Umempenda Demu, Unatafuta Mshenga, Anapeleka Posa Hata Tsh 50,000 Na Pesa Ya Miwani Ya Msomaji Wa Barua Tsh 15,000. Then Baada Ya Hapo Unatambulika Kama Mume Kwao Na Unaweza Kwenda Kwao Siku Yoyote Muda Wowote Kula Mzigo Na Kumzalisha Kabisa For Only Tsh 65,000/=

Kwetu Kishika Uchumba Tu Kuanzia Tsh 100,000 Wala Hata Hawakuruhusu Kumgusa Na Hakirudishwi. Mahari Sasa Rafiki Yangu Kaoa Ng'ombe 25 !
waislamu wa wapi hao kilimanjaro au?
 
Mwanamke akae kwangu kwa adabu sio mbwembwe za ajabu ajabu
Kwasababu anakaa kwako ndiyo umtendee ndivyo sivyo? Kwanini MUNGU mwenyewe alisema ni vema huyu mtu akae pekeyake nitamfanyia msaidizi, kwanini hakusema mtumwa? Msaidizi inaama ikitaka kufanya kitu au kuamua kitu lazima mkae mjadiliane, sasa Mme urudi saa 8 za usiku usiulizwe eti unataka kumitawala haa[emoji849]

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
 
Ukitaka amani katika familia ni lazima baba awe kichwa yaani mfalme.yaani mfumo dume. Haiwezekani basi bora umkabidhi madaraka tu. Vitabu vitakatifu havikukosea kumpa mamlaka baba. Wanawake mtusamehe lakini ndio ukweli hakuna balance sheet kati ya mume na mke kwisha!
Ua true....tofaut na hpo watakuendesha wanavotaka.
 
Kwasababu anakaa kwako ndiyo umtendee ndivyo sivyo? Kwanini MUNGU mwenyewe alisema ni vema huyu mtu akae pekeyake nitamfanyia msaidizi, kwanini hakusema mtumwa? Msaidizi inaama ikitaka kufanya kitu au kuamua kitu lazima mkae mjadiliane, sasa Mme urudi saa 8 za usiku usiulizwe eti unataka kumitawala haa[emoji849]

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
Mie siwezi mfanyia visa mtu bana ndivyo nilivyoumbwa! Ila ukianzisha ujue siwezi kukukalia kimya lazma ule msoto back to back au nikufunguie vioo mazima
 
hebu mtupishe, kuna watu wanavumilia kwenye ndoa kama wanawake? tena sio kumvumilia mume tu, unamvumilia mume, wakwe, mawifi na mashemji, tatizo lenu wanaume mnapenda kuabudiwa na hizo zama za mama zetu na bibi zetu zilishapita na wao walikuwa na haki ya kuwanyeyekea sababu walikuwa wanakaa tu nyumbani kazi kuu ni kuzaa na kulea na kumuhudumia mume, sasahv nimwendo wa sawa kwa sawa, haiwezekani wote tunatoka asubuhi kila siku tunarudi wote jioni mwisho wa mwenzi wote tunaleta mezani mishahara, alafu utake kujifanya mfalme wa nyumba. Maisha ya sasa ni kusikilizana na kuelewana kiustaarabu tu nyumba itaenda ila ukileta ubabe kweli ndoa utaiona chungu
Ndo usifue chupi? Hakuna usawa wowote kati ya mwanaume na mwanamke ni siasa tu hizo
 
Huyu jamaa nadhani ndio wale wa mihemko, akitaka kujua hilo amuulize baba ake kuhusu mamaake
kwani mama sio mwanamke?

Tatizo la wengi ni kudhani mtazamo negatively wa mtu dhidi ya jinsia iliyo kinyume naye hulenga wale wasio muhusu tu. Quran imesema wanawake ni wapungufu wa akili na dini meanwhile hata mama yako na mama yangu wanaingia hapo

Mwanamke haeleweki, na ukitaka kumuelewa utajikuta unapotea wewe. Cha msingi hapo ni kuweka kanuni zako ambazo anatakiwa aishi nazo
 
Mie siwezi mfanyia visa mtu bana ndivyo nilivyoumbwa! Ila ukianzisha ujue siwezi kukukalia kimya lazma ule msoto back to back au nikufunguie vioo mazima
Sasa ndiyo mke hakuna kwa kumpaki bali unapambana nayo [emoji3][emoji3]
 
Back
Top Bottom