Kuishi na mke kunataka uvumilivu wa chuma

Kuishi na mke kunataka uvumilivu wa chuma

Nachukia pale mwanamke anapoleta ushindani ndani ya nyumba.

Ukiona mkeo unapomuuliza kitu hususani kama kakosea anakujibu kwa kuanza na sentence hii"Mbona na wewe....

Hapo ndoa haina muda mrefu itavunjika tena kwa uhasama kwa sababu alishaanza vita ya chini chini.
 
Wanaume wa hivyo niwachache sana , wengi na wao nikama wamama wauswazi kujibizana ananuna na kususa chakula [emoji3][emoji3] mwanaume analala bila kula haaa haaa wanawake huwa wanacheka kimoyo moyo kweli nakuwazarau kweli hawasemi tu, halafu ukute na huko 6*6 ni shida tupu, unazani mwanamke atafanya nini zaidi ya kelele!
Ni mwanamke mpuuzi tu ndio ataona ufahari kumchamba mumewe! Unaanzaje kufanya mambo ya hovyo namna hio!?
 
Nachukia pale mwanamke anapoleta ushindani ndani ya nyumba.

Ukiona mkeo unapomuuliza kitu hususani kama kakosea anakujibu kwa kuanza na sentence hii"Mbona na wewe....

Hapo ndoa haina muda mrefu itavunjika tena kwa uhasama kwa sababu alishaanza vita ya chini chini.
Dawa yake unaanza kumuandala talaka mapema ili siku akileta fyokofyoko unamchomolea tu 😂😂😂😂😅
 
Sifikirii kuoa wala sidhan kama ntakuja kuoa😂😂😂 wacha niendeleee kuwapelekea moto
 
Kwenye ndoa wote wanawake na wanaume wanashindwa kuelewana tabia na ndo migogoro huanzia hapo!kuna watu wako vizuri mno in speaking their minds,sasa ukikutana na mtu ambae si mwongezi ndo hapo utasikia oh mke wangu anaongea mno na mwisho wa siku unaanza kumkwepa kumbe ulipaswa tu uelewa tabia yake na umchukulie alivyo!
Na hii ni kwa wote,wanawake lazima waelewe waume zao na waume lazima waelewe wake zao kwa hakika ndoa zitadumu tu!
 
Ni mwanamke mpuuzi tu ndio ataona ufahari kumchamba mumewe! Unaanzaje kufanya mambo ya hovyo namna hio!?
Soma vizuri basi, hivi mme anayewajibika huwa anadharauliwa ? Basi mke huyo anakuwa na matatizo yake, sikia nijuavyo mie Mme haongei mara mbili 2 akiongea ya kwanza ya pili kamaliza ni maagizo tayari

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
 
Soma vizuri basi, hivi mme anayewajibika huwa anadharauliwa ? Basi mke huyo anakuwa na matatizo yake, sikia nijuavyo mie Mme haongei mara mbili 2 akiongea ya kwanza ya pili kamaliza ni maagizo tayari

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
Sasa kwa style hio ya kubishana kuna maagizo au kichapo tu kitafata! Saingine nyumba zinakuwa ngumu kukiwa na watu wa aina hii!
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] ndoa ya ngumi mkononi daa hapana kwakweli

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
Mwanamume wako unaanza tena kubishana nae kama shoga yako! Huo ujinga anauweza McGarab tu na tamthilia yao ile ambayo Coletha anamuendesha kama gari bovu! Wanamuita Mrs.Michael kitu kama hicho
 
Mwanamume wako unaanza tena kubishana nae kama shoga yako! Huo ujinga anauweza McGarab tu na tamthilia yao ile ambayo Coletha anamuendesha kama gari bovu! Wanamuita Mrs.Michael kitu kama hicho
Wengi kinachowambua pale mwanzo wanapo oana ndipo hukosea mazoea yasiokuwa na maana [emoji3][emoji3], Mary (Coletha) na Michael michepuko ya Michael ndiyo sababu ya kuyumbisha ndoa yake, mbona humsemi Tomas ? Naye ni mkewe ndiyo sababu!

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
 
Wengi kinachowambua pale mwanzo wanapo oana ndipo hukosea mazoea yasiokuwa na maana [emoji3][emoji3], Mary (Coletha) na Michael michepuko ya Michael ndiyo sababu ya kuyumbisha ndoa yake, mbona humsemi Tomas ? Naye ni mkewe ndiyo sababu!

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
Michepuko itakosekana vipi kama hata muda wa story hamna ni pyeeee...peppeepe....rrrrrhhhaaaaa....braaa...yuuhuuugggggaananann!$&@&!

Hapo umetoka mihangaikoni ndio unafikia mazingira hayo utajisikiaje! Halafu kumbe kuna mtoto Queen yupo zake mahali ametulia zake hana baya! Anakuwa rafiki anakupa utulivu wa hali ya juu nani asiependa kula pazuri???
 
Michepuko itakosekana vipi kama hata muda wa story hamna ni pyeeee...peppeepe....rrrrrhhhaaaaa....braaa...yuuhuuugggggaananann!$&@&!

Hapo umetoka mihangaikoni ndio unafikia mazingira hayo utajisikiaje! Halafu kumbe kuna mtoto Queen yupo zake mahali ametulia zake hana baya! Anakuwa rafiki anakupa utulivu wa hali ya juu nani asiependa kula pazuri???
Hapo ndipo shida inapoanzia sasa ukichoka na michepuko unataka kukaa vizuri, mke naye moyo wake ndiyo ulishatibuka kuurudisha ndiyo gharama!

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
 
Hapo ndipo shida inapoanzia sasa ukichoka na michepuko unataka kukaa vizuri, mke naye moyo wake ndiyo ulishatibuka kuurudisha ndiyo gharama!

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
Tunaachana, thats a bye bye ticket mbona! Yani mie nichoke kinachonipa amani na furaha? Uliona wapi mtu kachoka amani na furaha?

Kwa mwanamke mwenye hekima atajutia upumbavu aliofanya na atabadilika akiona umemuhama tena atahaha kweli kweli! Ila mshenzi ataona ndio ticket na ya yeye kwenda kuchepuka nje ya mji wake!
 
Nianze kwa kusema mimi ni kijana wa miaka 35 sasa, nimeoa mwaka wa 6 huu, na nina watoto wawili, ila ujumbe wangu wa leo vijana mnapoamua kuoa muwe mmemaanisha hawa wake zetu unahitaji akili ya ziada kuishi nao wengi wana upeo wa chini sana na wasahaulifu kupitiliza.

Hivyo kijana usipokuwa muelewa unaweza kuwa unagombana nao kwa sababu ambazo unaweza kuziepuka.

NB: Binafsi katika miaka hiyo ya ndoa nimejifunza na kushuhudia mengi upo wakati nilitaka kuachana na mke wangu kwa kelele zake na kutofuata ninachotaka mimi. Ila baadae nikaamua kumpotezea nimeamua kuwa kimya kama mjinga flani hivi ila akili kumkichwa.
======

Unaweza kutazama mkasa huu ukisomwa ktk Kipind cha JamiiLeo

======

UPDATE: 22 Novemba 2016

Wake zetu tunawapenda sana ila mnaongea mno kupitiliza. Binafsi situmii kilevi, wala si mtu outgoing kivile isipokuwa mara chache nikiwa na pesa kidogo tunatafuta outing na familia ufukweni au nje ya mji Bagamoyo ama Lushoto au Arusha.

Lakini sasa huyu mke wangu yeye hataki nifanye kazi na mwanamke yeyote, duuh! Hili kwangu haliwezekani maana kwa kazi yangu nakutana na wengi (wanaume & wanawake).

Pia usafi chumbani ni ovyo ovyo si usafi wa kitanda wala nguo za ndani, nimezungumza mpaka nimechoka, kuna wakati fulani dada wa kazi eti alikuwa anafanya usafi chumbani kwetu, bila kuingilia kati huenda angepewa na cchuup afue.

Nimeamua kuwa mhanga nafua nguo za ndani ninazozikuta kwenye tenga (zikiwemo zake) na kufanya usafi chumbani.

**Ila akili kichwani asee hapa nimechamba nimeibuka na nyaa.

27 Januari, 2017
Miaka kadhaa ya NDOA, nina USHUHUDA

29 Januari, 2017
Kujidai kusali kutwa/kucha na kushinda makanisa ni KUTAFUTA MIUJIZA huku haumuheshimu mumeo ni kujidanganya tu.

Aiseee
 
Back
Top Bottom