Kuishi na mke kunataka uvumilivu wa chuma

Kuishi na mke kunataka uvumilivu wa chuma

Acha kutisha Watu utafikiri wakioa wataoa mke wako .Kama umezoa kimeo wewe pambambana nalo hilo Ni lako kimuemue Cha Moyo wako Acha. Kuwatisha Watu hapa.
Halafu wengi hawana akili hata ya kuishi na mke, lakini walalamishi mke hajitambui muulize wewe unafanya nini mke akifanya sivyo, wengi hususa na kununa kama Bibi zao wazaa Baba zao, na utakuta kijitu kimejaa midevu uso mzima lakini kimemnunia mkewe, sasa hapo mke ataacha kumuona ng'ombe tu, ndoa nyingi wanawake ndiyo wanabembeleza mme kanuna [emoji18][emoji18][emoji18] kama punguani, mie huona nikukosa malezi ya Baba na mama
 
Halafu wengi hawana akili hata ya kuishi na mke, lakini walalamishi mke hajitambui muulize wewe unafanya nini mke akifanya sivyo, wengi hususa na kununa kama Bibi zao wazaa Baba zao, na utakuta kijitu kimejaa midevu uso mzima lakini kimemnunia mkewe, sasa hapo mke ataacha kumuona ng'ombe tu, ndoa nyingi wanawake ndiyo wanabembeleza mme kanuna [emoji18][emoji18][emoji18] kama punguani, mie huona nikukosa malezi ya Baba na mama
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] kwa hiyo unawatupia madongo single mothers.usifanye hivyo tafadhali [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Wanawake ni wa kuwasaidia sana;
1. Kuna wakati anaweza akawa kuna kitu anataka lkn hata yy hajui anataka nn, ss ni kazi ya mwanaume kujua hicho anachotaka ambacho hata yy hakijui.

2. Kuna wakati anakuwa na mahitaji zaidi ya 10 lkn hajui hitaji la kwanza ni lipi na pili ni lipi so mwanaume ndo kazi yako kumshauri ku-prioritize!

3. Kuna wakati anaongea sn, njia pekee ya kumnyamazisha ni wewe kukaa kimya.

4. Kuna wakati analeta ushindani anataka yy awe mshindi, rudi nyuma yy awe mshindi, atakuwa mshindi lkn wewe utakuwa mshindi wa Amani ya ndoa /mahusiano yenu.

5. Jifunze ku ignore mambo, mfano ametoka kuongea hapa akamaliza, in 5 minutes msemeshe kitu nje kbs ya mada aliyetoka kuongea dak chache zilizopita, yaani usiweke kinyongo ili maisha yaendelee ktk kila hatua.

Katika vyote kimya ni jibu zur zaid katika mahusiano. Ukiweza kutumia siraha ya Ukimya, umefanikiwa kwa hakika!!!

Tuishi nao kwa akili.
Wanaume wa hivyo niwachache sana , wengi na wao nikama wamama wauswazi kujibizana ananuna na kususa chakula [emoji3][emoji3] mwanaume analala bila kula haaa haaa wanawake huwa wanacheka kimoyo moyo kweli nakuwazarau kweli hawasemi tu, halafu ukute na huko 6*6 ni shida tupu, unazani mwanamke atafanya nini zaidi ya kelele!
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] kwa hiyo unawatupia madongo single mothers.usifanye hivyo tafadhali [emoji3][emoji3][emoji3]
Wala sina ugomvi na single mother [emoji3][emoji3] wapambane tu kulea watoto wao vizuri
 
Unachosema ni kweli mkuu.

Na Mimi nimeoa mwaka wa pili tu huu yaani ndoa bado changa kabisa hii ila mke ashafanya makubwa utadhani tuko ndoani mwaka wa kumi.

Mbishi
Mjuaji
Muongeaji Sana kubwa kuliko yote anajiamini mnooo kiasi nishamlamba makofi Hadi nikachoka, imefika wakati nikawa na mawazo hasi kuwa huenda huyu ni mchawi maana sio kwa kujiamini namna hii hata Kama kakosea yeye.

Sasa Basi nilichoamua kufanya ni hivi:

Nampeleka kule anapotaka, yaani akinivimbishia na Mimi nampa mkongoto mpaka anakimbia kwa kwao Kisha anarudi.

Nakusanya ushahidi kimya kimya ili nione huenda Kuna mjinga anamjaza ujinga nikiupata usio na Shaka nitamtimua Kama simjui.
tupe mrejesho
 
Kitu cha Kwanza kwa mwanamke ni usafi wa ndani na nje. Wakati mwingine huwa nawaona wanawake yaani akisha pata watoto watatu wawili watatu, mapenzi yote anayahamishia kwa watoto na anamuona mme kama si chochote.

Utashangaa mme unatoka kazi, hata kukupokea hataki ndo kwanza utakuta yupo nje kanyoosha miguu na maziwa yote yako nje, sasa hapo apetite ya kumpenda itatoka wapi?
aisee naona watu mnatema nyongo tu[emoji3][emoji3]
 
Sasa utaacha kujenga familia uhangaike na kumtafutia mke mwingine?????
Yote Ni sawa...mke mwingine au mchepuko ila Ni kupoteza kipato Cha familia tu....huo mchepuko unaweza ukawa umafyonza mrija mkuu wa income ya familia kuliko hata main house ...eg mke anakunywa coca....mchepuko savanna au saint Anne ...nyumbani maharage... Mke mdogo kuku,maini na mapochopocho ya Bei.

All in all wanawake wanna vichwa panzi Sana ....Kama Mimi najuta kwanini nilioa na utotoni hata wazazi wanajua nilisema nitazalisha wanawake tofauti tofauti then nikae na watoto wangu mwenyewe.

Nasema hivi, ndoa Ni jahanamu ingia for your own risk.
mzee bado upo kwenye ndoa?
 
Siwezi kuruhusu demokrasia kwenye mahusiano yangu Mimi haya ya ndoa. Kama mbwai iwe mbwai tu ila hizi ndevu lazima ziheshimiwe.

yes natambua na yeye ni binadamu anatakiwa kufanyiwa Kama ninavyofanyiwa Mimi ila hawa viumbe hawaelewi unampa rift analazimisha kupiga na honi.

Miezi miwili tu baada ya ndoa mwenzangu akaniletea picha picha, vibao nilivyompa alikaa mwezi mzima haamini, nilimwambia nimekuoa ila uamuzi wa kukurudisha kwenu siwezi kusubili nikiwa nimelewa.

Uanamume ni pamoja na kuwa na maamuzi magumu cha msingi iwe katika kujenga na sio kubomoa.
ukimpa lift anataka apige na honi[emoji3][emoji3]
 
Mimi nadhani kuishi pamoja kama mume na mke ndo kunahitaji uvumilivu.

Wote mvumiliane na sio uvumilivu uwe wa upande mmoja tu.

Kumwona mwenzio ndiye mwenye mapungufu na wewe kujiona uko timilifu nayo ni mapungufu.
Sidhani kama alikuwa namaana yy nimkamilifu ila wanawake wamezidi halafu nimambo madogomadogo tu shida nihata majibu ukiuliza
 
Back
Top Bottom