establishment
JF-Expert Member
- Jun 27, 2015
- 1,632
- 2,435
- Thread starter
-
- #161
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Vijana msifikir ndoa ni kucheza kwaito na kutuma picha instagram. Kwa wale waliooa kabila lililopo pembezoni mwa mlima mrefu Afrika na kule Kyela moto tunauona!
...this coming from a woman, 'kumtafutia mwanamke mwingine'???Dawa ni kumtafutia mwanamke mwingine, mbona jeuri itaishaa.
Yaani huko ni kujisahau kulikopitiliza kwa wanawake kwa kweli, ni kuzoea ndoa huko ila kila mmoja ana mapungufu na yapo yanayorekebishika
Kwa jina lingine tunakuita pasua kichwa.Mimi ukinitafutia mwenzangu na mm natafuta mwenzio ngoja droo
Hahahaa ahsante hata yeye huniita hivyo.Kwa jina lingine tunakuita pasua kichwa.
Kumbe je, ndo dawa ya wanawake wenye midomo...this coming from a woman, 'kumtafutia mwanamke mwingine'???
Apana Mkuu usiwahukumu wote wapo wanaojua kupenda na kupendwa,kwani kufua chupi ya mkeo kuna shida gani kama moyo wako umeridhia? mbona mwanamke anafua chupi ya mumewe/mpenzi wake au kuna sehemu ina sema its compulsory kwa mwanamke kufanya hivyo? ....Kuna mwanamke wa kubembeleza ilo sio mwanamke wa kiafrika. Utaumia yanii!
Kama huamini jaribu...
Hao wa kubembeleza wakawa waelewa labda wa nje ya hili bara. Kama mme unatafuta kufulishwa hadi chupi za mke na kubebelea majukumu mengine ya mkeo mdekeze mwanamke wa kiafrika!
Vijana msifikir ndoa ni kucheza kwaito na kutuma picha instagram. Kwa wale waliooa kabila lililopo pembezoni mwa mlima mrefu Afrika na kule Kyela moto tunauona!
Teh mi mwanamke asiyeweza kuwa chini yangu atafute pa kwenda tu . hata kama angekuwa rais wa nchi.hebu mtupishe, kuna watu wanavumilia kwenye ndoa kama wanawake? tena sio kumvumilia mume tu, unamvumilia mume, wakwe, mawifi na mashemji, tatizo lenu wanaume mnapenda kuabudiwa na hizo zama za mama zetu na bibi zetu zilishapita na wao walikuwa na haki ya kuwanyeyekea sababu walikuwa wanakaa tu nyumbani kazi kuu ni kuzaa na kulea na kumuhudumia mume, sasahv nimwendo wa sawa kwa sawa, haiwezekani wote tunatoka asubuhi kila siku tunarudi wote jioni mwisho wa mwenzi wote tunaleta mezani mishahara, alafu utake kujifanya mfalme wa nyumba. Maisha ya sasa ni kusikilizana na kuelewana kiustaarabu tu nyumba itaenda ila ukileta ubabe kweli ndoa utaiona chungu
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] kweli.kbs mkuuuTeh mi mwanamke asiyeweza kuwa chini yangu atafute pa kwenda tu . hata kama angekuwa rais wa nchi.
Hizi ndoa za mwendokasi.1. Kuongea kwa mwanamke ni kawaida. Hata wanasayansi wameprove. Hakuna jipya hapo.
2. Outing yako na kufanya kazi na wanawake kuna uhusiano gani????? Jichunguze, huo ukaribu usiopendwa na mkeo
3. Kama kusafisha room yupo rough maana yake si ndio udhaifu wake? Unatakiwa uchukulie madhaifu ya mwenzako unless wewe uko PERFECT bila madhaifu???
ZINGATIO:
Wanandoa ni mwiko kutoa siri za ndani za wenza wao
Nikijua tu nakutwanga talaka.Mimi ukinitafutia mwenzangu na mm natafuta mwenzio ngoja droo
Hahaha Shemeji nn tatzo ?? Kwani unataka niambia ulivyomposa dada yangu na mbege yote ile....unaona umeingia cha kike ?? [emoji23][emoji23]Vijana msifikir ndoa ni kucheza kwaito na kutuma picha instagram. Kwa wale waliooa kabila lililopo pembezoni mwa mlima mrefu Afrika na kule Kyela moto tunauona!