Kuishi na mke kunataka uvumilivu wa chuma

Kuishi na mke kunataka uvumilivu wa chuma

hebu mtupishe, kuna watu wanavumilia kwenye ndoa kama wanawake? tena sio kumvumilia mume tu, unamvumilia mume, wakwe, mawifi na mashemji, tatizo lenu wanaume mnapenda kuabudiwa na hizo zama za mama zetu na bibi zetu zilishapita na wao walikuwa na haki ya kuwanyeyekea sababu walikuwa wanakaa tu nyumbani kazi kuu ni kuzaa na kulea na kumuhudumia mume, sasahv nimwendo wa sawa kwa sawa, haiwezekani wote tunatoka asubuhi kila siku tunarudi wote jioni mwisho wa mwenzi wote tunaleta mezani mishahara, alafu utake kujifanya mfalme wa nyumba. Maisha ya sasa ni kusikilizana na kuelewana kiustaarabu tu nyumba itaenda ila ukileta ubabe kweli ndoa utaiona chungu
kwa mtindo huo sidhani kama utaolewa au kudumu kwenye ndoa mwanamke unakuwa mbabe ????
 
Ukishaviokota ndio urijali? Unaokota takataka unaifurahia? Teh teh inashangaza sana. Hata wanaume wana mapungufu mkuu, unadhani wake zenu hawawaoni wanaume wazuri wenye six packs, wasafi, wanaowajali na wenye pesa ndefu? Mtengeneze mke/mume wako jinsi unavyotaka awe. Kama anakupenda mtaenda sawa!
Wanaume wenye vifua wanapagawisha Sana aisee
 
mmke ni kama mtoto mdgo kuna vitu anaweza fanya akahic ni sahh ila akAkuboa sana me mke wangu anapenda kuunguza vitu akipika maandaz chapati vitunguh ni lazma aunguze hata umuelekeze vp yaani ana vikero vidgo vidogo ila navujmmmilia
 
Ukioa msichana jiandae kuumia milele na ujue ndoa yako itakuwa daraja la ww kwenda motoni maana ndani yake mtajaa machukizo kwa Mola wako,ipo tofauti ya msichana na mwanamke,mwanamke anajua wajibu na mpaka wake,ubinadamu ni kukosea lkn ole wako ukae na mwanamke mwenye makusudi,binafsi nimeamua kuacha wa kwangu aende na kasi ya upepo wa dunia unavovuma,nimeamua kukaa na watoto wangu kuwaepusha na kelele na matusi na vituko vya kila siku vya makusudi,
Km mke ama mume hakufanyi uwe na amani na akusaidie kumtumikia Mungu wa nn sasa huyo maana tunaishia Leo kwa ajili ya baadae yetu,aisee nimepumua sana sikutegemea km kuishi na wanangu tu kutanipa furaha ila sasa nna amani nna furaha na nnapanga mipango inaoangika
Www.stressfreezone
 
Huyu aliyeanzisha kutoa vyet vya ndoa kabla ya kuingia kwenye field ya ndoa alikosea saana!! Maana ndoa za sikuhizii majanga sana..hapo uko na six years changamoto..utafika 20years kweli??
 
Mkuu wa kwangu hatofautian na aTrump..ni mwendo wa kutumia nguvu kama vile tupo kule Alepo Syria na zaidi silaha yake ni lile dawati la jinsia
 
Kuoa ni kuongoza serikali iliyo kamili. Unapaswa kuwa na busara za kutosha.
 
Watanzania kwa KUJAZANA HOFU tupo juu!, yaani si watumishi wa Mungu si wapagani, kila mtu ni mwalimu wa KUJAZA WENZIE HOFU!!!!....Mungu anawaona nyie watu, mm nataka kuoa kabla mwaka huu kuisha na moto sitauona!!!
 
Watanzania kwa KUJAZANA HOFU tupo juu!, yaani si watumishi wa Mungu si wapagani, kila mtu ni mwalimu wa KUJAZA WENZIE HOFU!!!!....Mungu anawaona nyie watu, mm nataka kuoa kabla mwaka huu kuisha na moto sitauona!!!
Hakuna aliyekukataza ndugu, we oa tu huko machame. Wakat unachezea kipondo ndo utakumbuka maneno haya.
 
Back
Top Bottom