Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwa mtindo huo sidhani kama utaolewa au kudumu kwenye ndoa mwanamke unakuwa mbabe ????hebu mtupishe, kuna watu wanavumilia kwenye ndoa kama wanawake? tena sio kumvumilia mume tu, unamvumilia mume, wakwe, mawifi na mashemji, tatizo lenu wanaume mnapenda kuabudiwa na hizo zama za mama zetu na bibi zetu zilishapita na wao walikuwa na haki ya kuwanyeyekea sababu walikuwa wanakaa tu nyumbani kazi kuu ni kuzaa na kulea na kumuhudumia mume, sasahv nimwendo wa sawa kwa sawa, haiwezekani wote tunatoka asubuhi kila siku tunarudi wote jioni mwisho wa mwenzi wote tunaleta mezani mishahara, alafu utake kujifanya mfalme wa nyumba. Maisha ya sasa ni kusikilizana na kuelewana kiustaarabu tu nyumba itaenda ila ukileta ubabe kweli ndoa utaiona chungu
Wanaume wenye vifua wanapagawisha Sana aiseeUkishaviokota ndio urijali? Unaokota takataka unaifurahia? Teh teh inashangaza sana. Hata wanaume wana mapungufu mkuu, unadhani wake zenu hawawaoni wanaume wazuri wenye six packs, wasafi, wanaowajali na wenye pesa ndefu? Mtengeneze mke/mume wako jinsi unavyotaka awe. Kama anakupenda mtaenda sawa!
Kimpango Wako, utrajijruuukwa mtindo huo sidhani kama utaolewa au kudumu kwenye ndoa mwanamke unakuwa mbabe ????
Cheki machine inafanya kazi vizuri?,Nakuelewa,am in the same mess only difference is huyu wangu ni cheater, nadhani ndani ya wiki hii am walking away
Njoo huku, machame moja hiyo1. Yaani unajinyima kwa ajili ya familia lakini mke yeye haoni.
2. Nahakikisha kuwa anafika kileleni (orgasm) kabla mimi sijakojoa bado haoni hiyo daah. Inaudhi
Wanaume wengi tumegeuzwa maroboti,tunatumikishwa na kuumizwa duniani na pepo hatuioni ng'oooNjoo huku, machame moja hiyo
aowe roboti au..Achana na wanawake
Mkuu upo sahihi kabisa.. kuishi na mke nayo ni kipaji... bila hivyo unaweza piga mpaka ukauwa.Kuoa ni kuongoza serikali iliyo kamili. Unapaswa kuwa na busara za kutosha.
Hakuna aliyekukataza ndugu, we oa tu huko machame. Wakat unachezea kipondo ndo utakumbuka maneno haya.Watanzania kwa KUJAZANA HOFU tupo juu!, yaani si watumishi wa Mungu si wapagani, kila mtu ni mwalimu wa KUJAZA WENZIE HOFU!!!!....Mungu anawaona nyie watu, mm nataka kuoa kabla mwaka huu kuisha na moto sitauona!!!