Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Sawa, tutajitahidiKinamama badilikeniii. Mna maneno ya ovyo mnooo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa, tutajitahidiKinamama badilikeniii. Mna maneno ya ovyo mnooo
Ni kweki, kamwe fahari wawili hawaishi zizi moja.Ligi ndio zinapelekea mpaka ndoa zinavunjika..
Lakin watu haelewi hilo.. na baadhi ya wanawake wanataka kuota oembe ndabi ya nyumba
Hili tatizo la malezi ni la pande zote, sio kwa wanawake tu. Ni kweli wazazi aina ya maisha wanayoishi na malezi wanayowalea watoto wao yanainfluence aina za ndoa watoto wao watakazokuwa nazo.Wanawake tunaooa sasa hivi ni watoto wa Wazazi wa kidigitali. Hakuna malezi wala makuzi ya kuheshimu na kutii ndani ya ndoa. Ukienda kuchumbia mapokezi ya Kiwango cha Lami, kumbe wanajua umekuja kuwaondolea aibu ya mtoto wao kukwama ndani..... Utakapooa sasa ndo utajiuliza hivi huyu alitokea mlangoni au dirishani.???
Na nyie wanawake Muwe na akili ya kutofautisha ndoa na harusi. Na Mjue kuwa harusi ni ya siku moja ndoa ni kitu cha maisha. Mnavyojiandaa kwenye harusi mngekuwa mnajiandaa hivyo kwenye ndoa mambo yangekuwa murua kabisaa.... Ila kinyume chake ndoa zimekuwa kiwanda cha kutengeneza wajane tu. Maana wanaume wanajifia hovyohovyo. Pumbavu kabisa.
KabisaMimi nadhani kuishi pamoja kama mume na mke ndo kunahitaji uvumilivu.
Wote mvumiliane na sio uvumilivu uwe wa upande mmoja tu.
Kumwona mwenzio ndiye mwenye mapungufu na wewe kujiona uko timilifu nayo ni mapungufu.
Ila nashukuru ww wife unajitambua, thanksJamani poleni sana kumbe tunawapa shida hivi
[emoji102] [emoji102]Ila nashukuru ww wife unajitambua, thanks
Hahaha aisee bob nakuelewa sana....mimi nakumbuka kuna wakati kaka/cousin yangu (mtoto wa mama yangu mkubwa)....kuna kipindi like 5 years ago aliumwa sana inasemekana ni kipapai (kazini huko gov't walimfanya habari sizo, inasemekana na mkewe ali play part kumzunguka jamaa atake over everything)Aisee najuta. Lakini si unajua WAGALATIA tulivyo wanafiki TALAKA anatoa Rais wa Vatikane. Mm nimeamua kufanya yangu.
Kumbe wachaga hata nyie kwa nyie mnatengana!!! Basi sawa.Hahaha aisee bob nakuelewa sana....mimi nakumbuka kuna wakati kaka/cousin yangu (mtoto wa mama yangu mkubwa)....kuna kipindi like 5 years ago aliumwa sana inasemekana ni kipapai (kazini huko gov't walimfanya habari sizo, inasemekana na mkewe ali play part kumzunguka jamaa atake over everything)
Baada ya wajomba kuhangaika nae sehem sehem chimbo huko akapona. Unaambiwa kipindi anaumwa hajiwezi ni mama yake mzazi (mama mkubwa) ndio alikua ana muogesha na kumhudumua mwanae, huyo mkewe alikua hafanyi chochote kile....yeye anakuja analeta vitu anaondoka. Hapo ndipo nilipokuja amini aisee kuna wanawake sio kabisa.
Sisi ni wachagga pure ila aisee kuna baadhi ya wachagga hawafai kabisa hasa wa machame na rombo (sio sana kama machame) sina maana ya ku generalise na si wote najua ila hzo sehem mbili hata mama yangu alinionya sana nisiende kuoa pande hzo. Nitajuta !!!
Kumbe wachaga hata nyie kwa nyie mnatengana!!! Basi sawa.
Mwanaume au mumeo si mtu sahihi wa kwenda nae ligi hata siku moja mtazamo wangu hata Kama kakufanyia ubaya we tafuta njia tu ya kutafuta amani ya moyo wako ila sio eti kafanya hivi na mimi nafanya vile utaumia ww.
Just take care of yourself maradufu tu oga hata Mara kumi fundisha watoto wako kuna ving vya kufanya Kama mwanamke zaidi ya kuleta ligi na mwanaume