Kuishi na mke kunataka uvumilivu wa chuma

Kuishi na mke kunataka uvumilivu wa chuma

Nini maana ya huu uzi,maana mleta uzi hujaolewa na unaongelea vibaya ndoa?!! Kwenye Ndoa yapo mengi, uliyoyaona hayajai hata kijiko,ila lazima ujue kua wengine wanafurahia wakati wengine wanaumia,sijui fungu lako ni lipi,ukiolewa utajua.
 
Ni balaa sanaa kuishi na mtu ni kazi ngumu wenye mioyo ya chuma ndo wataoolewa kwakweli ndoa sio kitu cha spotspot,usiolewe kwa kuiga au kisa mtoto au kisa umr umeenda kwa Hyo ukaolewa ili mradi
mambo n mazitooo moto unawaka hahahahah kama hauna uvumilivu kama mimi bora ukajikalia tu ila usijiingize ndoan bila uvumilivu.
Life without a wife is not life but a wife is a knife to cut your life......!
 
Ni balaa sanaa kuishi na mtu ni kazi ngumu wenye mioyo ya chuma ndo wataoolewa kwakweli ndoa sio kitu cha spotspot,usiolewe kwa kuiga au kisa mtoto au kisa umr umeenda kwa Hyo ukaolewa ili mradi
mambo n mazitooo moto unawaka hahahahah kama hauna uvumilivu kama mimi bora ukajikalia tu ila usijiingize ndoan bila uvumilivu.
Mbona hujasema ulichoshuhudia mpaka kusema hayo?
Tushuhudishe na sisi kile ulichoshuhudia!
 
Ni balaa sanaa kuishi na mtu ni kazi ngumu wenye mioyo ya chuma ndo wataoolewa kwakweli ndoa sio kitu cha spotspot,usiolewe kwa kuiga au kisa mtoto au kisa umr umeenda kwa Hyo ukaolewa ili mradi
mambo n mazitooo moto unawaka hahahahah kama hauna uvumilivu kama mimi bora ukajikalia tu ila usijiingize ndoan bila uvumilivu.
Mkuu usikimbie changamoto za maisha unapaswa kukabiliana nazo kwa hiyo unamuona mzazi wako aliyeolewa akakuzaa na kukulea vizuri ukasoma ni mjinga?
 
Yaan ndoa ni kero stress za kijinga utumwa . Kuna kiumbe naishi nacho .jamani nimemvumilia kwa kiwango cha zege ila upendo umekwisha sasa .mtu anarudi saa nane yupo zwiiii anataka akute chakula hajaacha hata Mia ukishika cm yake kila cku lazima chozi likutoke .sasa anavyokuchunga hata ukienda dukani tu atakuhoji Kama upo polisi
Hakua hivyo mwanzo?.Pombe ni janga kwenye mahusiano
 
Usiwatie ujinga wezako, hata ulichokiona chenyewe hujakitaja hapa, sasa tutakuamini vipi?
 
Mtoa mada umeleta mada inayoendana na wakati,waliofaidi ndoa ni wazee wetu wazamani, kama tulivyouona wasifu wa marehemu kingunge Ngombale mwilu namkewe waneoana vijana kabisa hadi wamezeeka wote lakini ukimuoa mwanamke wa kuleo anakuwa na akuli mbili moja ni yakuushi nawewe nyingine anakuwa na malengo yake binafsi kwamba siku yoyote ndoa ikiisha nayeye anakuwa ameshapata chakuanzia maisha ndiyomaana wanachepuka sana sikuhizi ili kufanikisha miradi yao
 
Mtoa mada amegoma kueleza. Watu dizaini ya mtoa mada huwa wasumbufu sana kwenye ndoa. Anaweza nuna unamuuliza sababu hakujibu. Huwa wananyima na papuchi🙂
 
sio kisa nyingi ni mbovu ikamaanisha zote zafanana
 
Back
Top Bottom