Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole mkuu. Changamoto za ndoa ni kubwa sana. Option ni zifuatazo;Wakati nausoma huu uzi nilikua nauona wa kawaida sana
Leo mimi ni shahidi mzuri sana
Mke anakesha anapekenyua simu .Hatulali tunajibizana mbona huyu dada kalike picha yako
Kitu kidogo tu amenuna ,nahisi naelekea kushindwa
Ni mke kweli au girlfriend or mchumba?Wakati nausoma huu uzi nilikua nauona wa kawaida sana
Leo mimi ni shahidi mzuri sana
Mke anakesha anapekenyua simu .Hatulali tunajibizana mbona huyu dada kalike picha yako
Kitu kidogo tu amenuna ,nahisi naelekea kushindwa
Umeongea point bro[emoji106]Pole mkuu. Changamoto za ndoa ni kubwa sana. Option ni zifuatazo;
1. MPUUZE, Akitaka kwenda, aende salama.
2. Mpe mipaka ya kufuatilia privacy zako akiendelea mtandike kipigo kitakatifu.
Sio laisi hivyo kusema namuachaPole mkuu. Changamoto za ndoa ni kubwa sana. Option ni zifuatazo;
1. MPUUZE, Akitaka kwenda, aende salama.
2. Mpe mipaka ya kufuatilia privacy zako akiendelea mtandike kipigo kitakatifu.
Hakuna kushindwa komaa endelea kumuelewesha yeye sio mjinga lazima kuna vitu anahisiWakati nausoma huu uzi nilikua nauona wa kawaida sana
Leo mimi ni shahidi mzuri sana
Mke anakesha anapekenyua simu .Hatulali tunajibizana mbona huyu dada kalike picha yako
Kitu kidogo tu amenuna ,nahisi naelekea kushindwa
Utaniua mkuu,,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]...mimi wangu ananipeleka vibaya sana,,ikiingia sms tu akiskia jingle anataka asome yeye..daaah!!..Pole mkuu. Changamoto za ndoa ni kubwa sana. Option ni zifuatazo;
1. MPUUZE, Akitaka kwenda, aende salama.
2. Mpe mipaka ya kufuatilia privacy zako akiendelea mtandike kipigo kitakatifu.
Mkuu hili umeongea ni kweli kabisa yani ukweli mtupu, mimi huyu wangu tunatibuana mpka analia inafikia hatua mtu anataka kuondoka usiku usiku kwenda kwao namwambia nenda, ila akiwa anatoka namwonea huruma namfata namwambia lala utaondoka asubuhi ,nikimrudisha tu ,namsema weeee anabaki analia ,akianza sasa kumwaga fact najikuta naumia sana ,anaanza sasa kuniambia:Hakuna ndoa isiyokuwa na matatizo, na bahati nzuri hayo matatizo ndo rutuba ya kuidumisha, ila hakuna sumu kubwa ya ndoa kama kusuluhishwa na watu mkiwa na mgogoro, matatizo ya ndoa hutatuliwa na wanandoa wenyewe, mkishamshirikisha hata mzazi tu juu ya ugomvi wenu mnapalilia kuivunja ndoa yenu. Hakuna mwalimu wa ndoa, hakunaga wala hatakuwepo.
Anayekubaliana na mimi kwa mambo haya ntakayo orozesha hapo chini agonge like:hebu mtupishe, kuna watu wanavumilia kwenye ndoa kama wanawake? tena sio kumvumilia mume tu, unamvumilia mume, wakwe, mawifi na mashemji, tatizo lenu wanaume mnapenda kuabudiwa na hizo zama za mama zetu na bibi zetu zilishapita na wao walikuwa na haki ya kuwanyeyekea sababu walikuwa wanakaa tu nyumbani kazi kuu ni kuzaa na kulea na kumuhudumia mume, sasahv nimwendo wa sawa kwa sawa, haiwezekani wote tunatoka asubuhi kila siku tunarudi wote jioni mwisho wa mwenzi wote tunaleta mezani mishahara, alafu utake kujifanya mfalme wa nyumba. Maisha ya sasa ni kusikilizana na kuelewana kiustaarabu tu nyumba itaenda ila ukileta ubabe kweli ndoa utaiona chungu
Kwa umri jiandae kupata shinikizo la moyo kabla hujatimiza miaka 23Me nataka kuoa ila nina miaka 21 mnanishauri vipi ndugu yangu na Joyce wangu nishamchumbia bado kupeleka mahari milioni 6.
Kwanini kwani kutakuwa na tatizo, japo huyo mwanamke kanizidi kiumri mwezi wa 8 anatimiza miaka 29.Kwa umri jiandae kupata shinikizo la moyo kabla hujatimiza miaka 23
Ooh kumbe wewe ni Marioo Jazz Band!Kwanini kwani kutakuwa na tatizo, japo huyo mwanamke kanizidi kiumri mwezi wa 8 anatimiza miaka 29.