katoto kazuri
JF-Expert Member
- Feb 10, 2018
- 6,124
- 5,745
Je mnajua kukaa na wanaume ni kazi ambayo ni kubwa sana .
Mnatesa sana wake zenu tena mkijua wanawategemea.
Vijidudu vyenu mna sambaza kila mahali .
Nakumletea mwanamke mateso mara magonjwa ya azinaa .
Unampiga kisa umempata alima.
Unampiga kisa umekuka umeleewa huna hata haya kabisa .
Mwanamke aliyekuzalia hawa na adam wazuri wanaofanana nawewe.
Unampiga mpaka unaua mama wawatoto wako halafu unaoa halima.
Au unamfukuza yeye na watoto.wako.
Hamna haya unamjibu mbele za watoto vibaya unamdharau kisa amepitisha mabichwa ya watoto wako kwaaumivu makali wakatoka salama hamna haya kabisa nyie.
Humpi haki yake kwa maana eti ameshazaa hana ladha tamu tena.
Eti kidudu chako kinamfaa amina na halima na akina furaeli sasa umeoa yanini.
Unakuja muda unaotaka eti hapo nikwako na hakuna mtu ambaye atakuambia chochote.
Ukisema unapigwa kama nini .
Unalala kama nini hujui hata watoto wamekula nini.
Kutoa hela yako ni ngumu kwa kila hitaji la watoto.
Unakuta hujalogwa hujakosa chochote hela ipo ila uko radhi ule na malaya na unarudi nyumbani umekula mlo ambao watoto wako hawajala wanamiaka nayo.
Sijawahi kuona watu waajabu
Na akina mama wanaoishi nao nikazi.
Nyie niwanyama mnaotembea na miguu miwili.
Nibora uolewe porini.
Mkienda sasa harusini ataki aonekane nawewe.
Atatafuta sababu mkutane naye ukumbini.
Nyie eti mnamgombeza wake zenu mbele za malaya zenu.
Si umnyamazishe huyo mtoto analia kama nini kumbe mtoto amemis upendo wa baba au ananjaa.
Hajala vizuri asubuhi nyie wanaume mnadhambi sana tubuni.
Mnatesa sana wake zenu tena mkijua wanawategemea.
Vijidudu vyenu mna sambaza kila mahali .
Nakumletea mwanamke mateso mara magonjwa ya azinaa .
Unampiga kisa umempata alima.
Unampiga kisa umekuka umeleewa huna hata haya kabisa .
Mwanamke aliyekuzalia hawa na adam wazuri wanaofanana nawewe.
Unampiga mpaka unaua mama wawatoto wako halafu unaoa halima.
Au unamfukuza yeye na watoto.wako.
Hamna haya unamjibu mbele za watoto vibaya unamdharau kisa amepitisha mabichwa ya watoto wako kwaaumivu makali wakatoka salama hamna haya kabisa nyie.
Humpi haki yake kwa maana eti ameshazaa hana ladha tamu tena.
Eti kidudu chako kinamfaa amina na halima na akina furaeli sasa umeoa yanini.
Unakuja muda unaotaka eti hapo nikwako na hakuna mtu ambaye atakuambia chochote.
Ukisema unapigwa kama nini .
Unalala kama nini hujui hata watoto wamekula nini.
Kutoa hela yako ni ngumu kwa kila hitaji la watoto.
Unakuta hujalogwa hujakosa chochote hela ipo ila uko radhi ule na malaya na unarudi nyumbani umekula mlo ambao watoto wako hawajala wanamiaka nayo.
Sijawahi kuona watu waajabu
Na akina mama wanaoishi nao nikazi.
Nyie niwanyama mnaotembea na miguu miwili.
Nibora uolewe porini.
Mkienda sasa harusini ataki aonekane nawewe.
Atatafuta sababu mkutane naye ukumbini.
Nyie eti mnamgombeza wake zenu mbele za malaya zenu.
Si umnyamazishe huyo mtoto analia kama nini kumbe mtoto amemis upendo wa baba au ananjaa.
Hajala vizuri asubuhi nyie wanaume mnadhambi sana tubuni.