Pablo Blanco
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 7,328
- 6,638
Oi mwana nsaidie number za mademu ambianceUmalaya unavumilika kuliko uvuvuzela.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Oi mwana nsaidie number za mademu ambianceUmalaya unavumilika kuliko uvuvuzela.
makubwa mmeanza kuwasema huku...watawanyoosha hakika ....kuna waliooa wanafurahia hawakuwahi hata kujutia kuwaoa wake zao na kuna ambao wanajutia kuoa hahaha..halafu hapo vuta picha na mwanamke ulimwacha bila sababu na alikuonyesha upendo wa dhati halafu ukamwona kama bwege,,,hapo lazima umkumbuke,,,,,tehteh....uwiii
😩😩😩😩😩@demiSio wote tulio na mke kama wewe. Pole kwa kupata mke wa aina hiyo. Mke wangu hana tabia hizo, ananiamini, ananiheshimu na ni msafi pia. Ana matatizo yake kama ambavyo mimi ninayo ya kwangu lakini tunavumiliana maisha yanasonga. Ndoa ni raha tu kwa upande wangu.
Hahaaaaa aisee ni hatari sana. Labda Kuna jinsia mbili hyo I'd
[emoji30][emoji30][emoji30][emoji30][emoji30]@demi
Kwa kweli yanihatari sana hii mmmh jf kiboko
Mi hata sielewi jamani [emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa kweli yani
acha kututania khaa kumbe wewe anko
ya kufungia mwaka hii
Hafu ukute ume chart ubuyu pm
Kwa kweli mwenyewe sijaelewa hii kitu mara mwanaume mara mwanamkeBado sielewi elewi au ndo mambo ya Id mbili mbili!?
Kwa life style yako ndoa itakuwia ngumu sana,, nani alikuambia kuna mwaume anataka usawa? Mwanamke abaki kuwa chini ya imaya ya mwaume tuu, ndo maana hata vitabu vya mungu vinasema mwaume ni kichwa cha familia. Ndo maana wanawake wengi Wenye kipato mnazalishwa na kuachwa.hebu mtupishe, kuna watu wanavumilia kwenye ndoa kama wanawake? tena sio kumvumilia mume tu, unamvumilia mume, wakwe, mawifi na mashemji, tatizo lenu wanaume mnapenda kuabudiwa na hizo zama za mama zetu na bibi zetu zilishapita na wao walikuwa na haki ya kuwanyeyekea sababu walikuwa wanakaa tu nyumbani kazi kuu ni kuzaa na kulea na kumuhudumia mume, sasahv nimwendo wa sawa kwa sawa, haiwezekani wote tunatoka asubuhi kila siku tunarudi wote jioni mwisho wa mwenzi wote tunaleta mezani mishahara, alafu utake kujifanya mfalme wa nyumba. Maisha ya sasa ni kusikilizana na kuelewana kiustaarabu tu nyumba itaenda ila ukileta ubabe kweli ndoa utaiona chungu