Valencia_UPV
JF-Expert Member
- Mar 31, 2016
- 6,974
- 8,750
Power Mongers[emoji28][emoji28]sisi wa kyela tena tuna shida gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Power Mongers[emoji28][emoji28]sisi wa kyela tena tuna shida gani?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wanyakyusa na wamachame!!!![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Machame ajipange huyo mpareUchagani mtihani. Kuna msela Mpare kaoa uchagani (Machame to be specific) kajenga nyumba basi kafuma sms kwenye simu ya mkewe wanapanga na mkwe
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Tuliooa Uchagani kazi si ya kitoto
Najaribu kukusoma, wewe ni miongoni wa wake wenye maneno kama cherehani[emoji3]
Jamaa atakuwa anapata shida, ila wanawake wengi wenye maneno mengi hawadumu kwa ndoa[emoji12]
.
Hata hivyo dawa kubwa ya ndoa ni mwanaume kuwa na wake wawili au zaid,
Ha ha ha Bora ulitua zigo la mavKwa kweli sijui watu wanawezaje kuishi na mke mbishi na maneno mengi asiyeweza kumezea jambo. Niliishia kwenye uchumba na mtu kama huyo nikabwaga manyanga. Ile ni adhabu ambayo sikua tayari kuikumbatia milele.
Sent using Jamii Forums mobile app
Power Mongers
Ngumi mkononi[emoji28]Okei maybe yes
Lafaa kutunza iwapo tu linatunzikaMke Ni UA la kumwagilia kila iitwapo leo. Lafaa kutunzwa