establishment
JF-Expert Member
- Jun 27, 2015
- 1,632
- 2,435
- Thread starter
- #1,401
Ndoa inataka utaahira
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Marahaba!Wenye miaka kadhaa ndani ya ndoa na bado mnalala kitanda kimoja Shikamooni.
Huyo bro atulie na mkewe sasa asianze kurukaruka akamchafua moyo mkewe.wanawake nao wanatofautiana hasa ukizingatia kila mmoja ana makuzi yake,mimi kuna kaka yangu mmoja kaoa mwanamke wa kipare aisee yule mwanamke ana heshima, akiongea na mume wake ni kwa sauti ya upole haswa,msafi ,anajua mapishi ,ni mwenye upendo na watu wote hakuna jirani asiyempenda pale anapokaa ,ni muajiriwa na vishilingi anavyo ila bado heshima ya mumuwe iko palepale,vya ndani sivijui ila kiukweli wazazi wa huyu mwanamke wanastahili kupewa tuzo ya heshima na huyu bro. kama umeoa kichomi pole mkuu kuna watu wamebahatika kupata wake haswa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nimecheka sana ila wacha niuguze yangu kwanzaVijana msifikir ndoa ni kucheza kwaito na kutuma picha instagram. Kwa wale waliooa kabila lililopo pembezoni mwa mlima mrefu Afrika na kule Kyela moto tunauona!
Huyo aliyesema kuhusu kyela naunga mkono hoja niliwahi kuwa na mchumba toka pande hizo kuna muda niliishi naye hakuna rangi nilikosa ona. Niliamua hata mahari siidai nikaingia mitini maana niliona hapa nikujitaftia lawama.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nimecheka sana ila wacha niuguze yangu kwanza
Haaaaaah noma sana Mimi nmekosa pesa katika ndoa yangu aisee acha tu usiku naona jua linawakaHuyo aliyesema kuhusu kyela naunga mkono hoja niliwahi kuwa na mchumba toka pande hizo kuna muda niliishi naye hakuna rangi nilikosa ona. Niliamua hata mahari siidai nikaingia mitini maana niliona hapa nikujitaftia lawama.
Nacheka hapa kama mazuri maana acha kabisa aiseeHaaaaaah noma sana Mimi nmekosa pesa katika ndoa yangu aisee acha tu usiku naona jua linawaka
Bro mta dumu.Ndoa yangu ina umri kama ya kwako.
Mwanzo tulisumbua sana, kisa hataki kufanya ninavyotaka mimi. Na niseme ukweli hiki ni kitu kinatutesa sana wanaume tunasahau wanawake ni binadamu pia wanye sifa zote za kibinadamu wakati wewe unataka aishi unavyotaka wewe yeye pia anataka uishi atakavyo yeye, magari yanagongana.
Baada ya kuligundua hilo nilikaa nae chini tukazungumza serious jamii tuliyopo inataka mwanamke aishi vipi na mme, yapi anayaweza yapi hayawezi, yapi nayaweza yapi siyawezi, zipi anadhani ni haki zake, zipi anadhani ni haki zangu na mimi pia nikamweleza tukachora msitari.
Nikienda kinyume ananilaumu na nimejifunza kukubali ikiwa nipo nje ya msitari yeye pia hivyohivyo naona kwa sasa mambo yanasonga.
Kama shetani mwingine hataingia hapo katikati pengine tukazeeka pamoja.
Nimejifunza kutambua madhaifu yake (yasiyo ya maksudi) najitahidi kuyaziba kwa moyo mkunjufu na yeye halalamiki kuna mambo amegundua ni mapungufu yangu anajitahidi kuyaziba.
Kwetu huko jamani mbona dada zangu wako poa,Mimi nimeenda kuchezea za uso Tanga [emoji23].Haaaaaah noma sana Mimi nmekosa pesa katika ndoa yangu aisee acha tu usiku naona jua linawaka