Dr Dre
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 2,664
- 2,810
kweli kabisa mkuuHuyo bro atulie na mkewe sasa asianze kurukaruka akamchafua moyo mkewe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kweli kabisa mkuuHuyo bro atulie na mkewe sasa asianze kurukaruka akamchafua moyo mkewe.
Huyo SI Mpare OG. I betwanawake nao wanatofautiana hasa ukizingatia kila mmoja ana makuzi yake,mimi kuna kaka yangu mmoja kaoa mwanamke wa kipare aisee yule mwanamke ana heshima, akiongea na mume wake ni kwa sauti ya upole haswa,msafi ,anajua mapishi ,ni mwenye upendo na watu wote hakuna jirani asiyempenda pale anapokaa ,ni muajiriwa na vishilingi anavyo ila bado heshima ya mumuwe iko palepale,vya ndani sivijui ila kiukweli wazazi wa huyu mwanamke wanastahili kupewa tuzo ya heshima na huyu bro. kama umeoa kichomi pole mkuu kuna watu wamebahatika kupata wake haswa
Muombe Mungu mpate amani ktk ndoa usitumie nguvu hakuna mkamilifu duniani.Unachosema ni kweli mkuu.
Na Mimi nimeoa mwaka wa pili tu huu yaani ndoa bado changa kabisa hii ila mke ashafanya makubwa utadhani tuko ndoani mwaka wa kumi.
Mbishi
Mjuaji
Muongeaji Sana kubwa kuliko yote anajiamini mnooo kiasi nishamlamba makofi Hadi nikachoka, imefika wakati nikawa na mawazo hasi kuwa huenda huyu ni mchawi maana sio kwa kujiamini namna hii hata Kama kakosea yeye.
Sasa Basi nilichoamua kufanya ni hivi:
Nampeleka kule anapotaka, yaani akinivimbishia na Mimi nampa mkongoto mpaka anakimbia kwa kwao Kisha anarudi.
Nakusanya ushahidi kimya kimya ili nione huenda Kuna mjinga anamjaza ujinga nikiupata usio na Shaka nitamtimua Kama simjui.
Mkuu unaona hivyo tu pingine ukipewa uishi naye siku mbili tu auwezi usijaji kitabu kwa kava la nje kuwa linavutiawanawake nao wanatofautiana hasa ukizingatia kila mmoja ana makuzi yake,mimi kuna kaka yangu mmoja kaoa mwanamke wa kipare aisee yule mwanamke ana heshima, akiongea na mume wake ni kwa sauti ya upole haswa,msafi ,anajua mapishi ,ni mwenye upendo na watu wote hakuna jirani asiyempenda pale anapokaa ,ni muajiriwa na vishilingi anavyo ila bado heshima ya mumuwe iko palepale,vya ndani sivijui ila kiukweli wazazi wa huyu mwanamke wanastahili kupewa tuzo ya heshima na huyu bro. kama umeoa kichomi pole mkuu kuna watu wamebahatika kupata wake haswa
acha ubishi usiokuwa na tija,kila mtu ana udhaifu wake and I can't argue with that ndio maana nikasema vingine vya ndani sivijui but atleast niliyoyaona yanamfanya kuwa na sifa za mke bora.Mkuu unaona hivyo tu pingine ukipewa uishi naye siku mbili tu auwezi usijaji kitabu kwa kava la nje kuwa linavutia
usimtie moyo wakati tayari tatizo linajulikana ni mwanamke mkuu. inshort huyo siyo type yake ndio maana hawaendani sasa yanini kung'ang'ania maumivuMuombe Mungu mpate amani ktk ndoa usitumie nguvu hakuna mkamilifu duniani.
mpare kabisa tena wale wafupi wa mlimani sema amekulia mjini. tatizo watu mnapenda ku generalize mambo.Huyo SI Mpare OG. I bet
Hahahausimtie moyo wakati tayari tatizo linajulikana ni mwanamke mkuu. inshort huyo siyo type yake ndio maana hawaendani sasa yanini kung'ang'ania maumivu
HhhhhhMe ndo naogopaaa mnapoyaweka bayana haya .Mungu wangu nitaoa kwl mie?
Hahahahaha, nacheka km mazuriHaaaaaah noma sana Mimi nmekosa pesa katika ndoa yangu aisee acha tu usiku naona jua linawaka
Wazee wa mikong'oto tunacheka tuUnachosema ni kweli mkuu.
Na Mimi nimeoa mwaka wa pili tu huu yaani ndoa bado changa kabisa hii ila mke ashafanya makubwa utadhani tuko ndoani mwaka wa kumi.
Mbishi
Mjuaji
Muongeaji Sana kubwa kuliko yote anajiamini mnooo kiasi nishamlamba makofi Hadi nikachoka, imefika wakati nikawa na mawazo hasi kuwa huenda huyu ni mchawi maana sio kwa kujiamini namna hii hata Kama kakosea yeye.
Sasa Basi nilichoamua kufanya ni hivi:
Nampeleka kule anapotaka, yaani akinivimbishia na Mimi nampa mkongoto mpaka anakimbia kwa kwao Kisha anarudi.
Nakusanya ushahidi kimya kimya ili nione huenda Kuna mjinga anamjaza ujinga nikiupata usio na Shaka nitamtimua Kama simjui.
Sawa MkuuSi unamfukuza kwani imelazimishwa kuishi naye
kwamba makosa anayoyafanya yeye hata mmewe anaweza kuyafanya?sijui kwanini watu wengi wanaofanya makosa wanajifichia kwenye ukamilifuMuombe Mungu mpate amani ktk ndoa usitumie nguvu hakuna mkamilifu duniani.
Ukinitafutia mwenzangu labda nisijue, nikijua nakugawa bure kwa huyo mwenzangu. Sipendagi ujinga!!!!Mimi ukinitafutia mwenzangu na mm natafuta mwenzio ngoja droo