Kuishi na Mtoto wa kufikia ni jukumu zito sana

Kuishi na Mtoto wa kufikia ni jukumu zito sana

Habari zenu,

Nimeona uzi wa Mdau akilalamika kuwa Mtoto wa Single Mother anadekezwa sana na Mama yake na akitaka kuchukua hatua Mama mtu anasema anamnyanyasa mwanae.

Kiukweli suala la kuishi na mtoto wa mtu ni jambo gumu sana maana unahitaji kuwa Boya na Pretender ili uonekane una mapenzi kwa mtoto, ni watu wachache sana wanaoweza kuishi maisha ya namna hiyo.

Kama umezaa na kuna uwezekano wa Mtoto kuishi mbali basi ni vyema mkafanya hivyo kuliko kuleteana maneno kwenye malezi ya mtoto wa nje.

USHAURI
KAMA HAUNA MTOTO NI VYEMA UKATAFUTA MWENZA ASIE NA MTOTO ILI KUEPUSHA MANENO KWENYE MALEZI.


Mpaka aje kukuamini ni ishu; hawezi kuwa na ful trust 100. But no worries you find a better way ya kuishi nae

Na kama ni mtoto wa kiume. Anaweza kuwa na wewe makini sana usije kumlawitia mwanae

Hayo mambo yapo

Shida pia ni aina ya huyo mwanamke. Ana uelewa wa maisha.? Otherwise ndio atasema au kwa sababu sio wako

Shida snaa hiyo

Nyumba inaweza kuvurugika

But isikuzuie kuwa na mtu unaempenda

Nilizalisha mwanamke, nikaamua kuwa nae huyo huyo kuzuia hizo ishu

Shida unapo date, date a classy woman, mwenye maadili ha nidham, smart and hard working and cute ili zikitokea zile ambazo hujapanga unatambaa nae huyo huyo tu

Ila ukienda ku date kwa ajili ya nyege na makalio makubwa pwete pwete wa dada wa insta, Ujiandae….. akikuambia ninayo utakimbia tu na utakuwa single father na yeye single mother
Mtaenda kupambana mbele kwa mbele n’a kuleta shida kama ivo
 
KATAA SINGLE MOTHER, KATAA NDOA.

Hujapenda. Kuna single mother ni visu na wana akili
Ishu ni kuweka common understanding na yeye awe muelewa kuwa utakuwa una exercise ule ubaba

Hivi utakuzaje mtoto bila kumkemea n’a kumfinya finya

Cha msingi be really na mpende dogo for really maaan huenda hata wako wa kuzaa wasikujali
 
wewe kama unaleabmtoto wa mtu lea kwa misingi yako akiweza aifuate akishindwa akwende
Hapo ndo utakuwa umefanya nini? Kumbuka mama wa mtoto anakulalamikia eti unamnyanyasa mwanaye. Kwa mantiki hiyo wewe utakuwa umethibitisha kwamba ni kweli unamnyanyasa mwanaye. Unamfukuza aende wapi ilhali inawezekana hata mtoto hamjui biological baba yake.
 
Mpaka aje kukuamini ni ishu; hawezi kuwa na ful trust 100. But no worries you find a better way ya kuishi nae

Na kama ni mtoto wa kiume. Anaweza kuwa na wewe makini sana usije kumlawitia mwanae

Hayo mambo yapo

Shida pia ni aina ya huyo mwanamke. Ana uelewa wa maisha.? Otherwise ndio atasema au kwa sababu sio wako

Shida snaa hiyo

Nyumba inaweza kuvurugika

But isikuzuie kuwa na mtu unaempenda

Nilizalisha mwanamke, nikaamua kuwa nae huyo huyo kuzuia hizo ishu

Shida unapo date, date a classy woman, mwenye maadili ha nidham, smart and hard working and cute ili zikitokea zile ambazo hujapanga unatambaa nae huyo huyo tu

Ila ukienda ku date kwa ajili ya nyege na makalio makubwa pwete pwete wa dada wa insta, Ujiandae….. akikuambia ninayo utakimbia tu na utakuwa single father na yeye single mother
Mtaenda kupambana mbele kwa mbele n’a kuleta shida kama ivo
Upo sahihi...
 
Habari zenu,

Nimeona uzi wa Mdau akilalamika kuwa Mtoto wa Single Mother anadekezwa sana na Mama yake na akitaka kuchukua hatua Mama mtu anasema anamnyanyasa mwanae.

Kiukweli suala la kuishi na mtoto wa mtu ni jambo gumu sana maana unahitaji kuwa Boya na Pretender ili uonekane una mapenzi kwa mtoto, ni watu wachache sana wanaoweza kuishi maisha ya namna hiyo.

Kama umezaa na kuna uwezekano wa Mtoto kuishi mbali basi ni vyema mkafanya hivyo kuliko kuleteana maneno kwenye malezi ya mtoto wa nje.

USHAURI
KAMA HAUNA MTOTO NI VYEMA UKATAFUTA MWENZA ASIE NA MTOTO ILI KUEPUSHA MANENO KWENYE MALEZI.

Mzee wa job true true nawe unakula mbususu ya single maza?
 
Simba dume uwa anatabia ya kuua vitoto alivyovikuta kwa jike; mtazamo huu pia upo kwa binadamu,ingawa kwa binadamu ubakia kwenye makasiriko
 
Ukiwa single mama kuwa makini sana watoto wako wasinyanyasike kingono na baba mpya
Ukiwa single baba kuwa makini sana watoto wake wasinyanyasike na kama alikukuta na mali andaa wosia mzuri kabisa bila kumshirikisha.
WATOTO SHOULD COME FIRST SABABU HAWAKUCHAGUA KUZALIWA NA SISI NA KIZURI HAWAKAI NA SISI MILELE, ASILIMIA KUBWA YA WAZAZI MTOTO AKIANZA FORM ONE ANAHAMIA BOARDING, HUO UHURU UNAOUTAKA UTAUPATA
 
Ukiwa single mama kuwa makini sana watoto wako wasinyanyasike kingono na baba mpya
Ukiwa single baba kuwa makini sana watoto wake wasinyanyasike na kama alikukuta na mali andaa wosia mzuri kabisa bila kumshirikisha.
WATOTO SHOULD COME FIRST SABABU HAWAKUCHAGUA KUZALIWA NA SISI NA KIZURI HAWAKAI NA SISI MILELE, ASILIMIA KUBWA YA WAZAZI MTOTO AKIANZA FORM ONE ANAHAMIA BOARDING, HUO UHURU UNAOUTAKA UTAUPATA
Why should one indulge him/her self in Life jargon? Kwa nini usitafute mwenza aliye peke yake ili muanze kuishi pamoja na kuzaa? Hayo maokoto yatatutesa.
 
Habari zenu,

Nimeona uzi wa Mdau akilalamika kuwa Mtoto wa Single Mother anadekezwa sana na Mama yake na akitaka kuchukua hatua Mama mtu anasema anamnyanyasa mwanae.

Kiukweli suala la kuishi na mtoto wa mtu ni jambo gumu sana maana unahitaji kuwa Boya na Pretender ili uonekane una mapenzi kwa mtoto, ni watu wachache sana wanaoweza kuishi maisha ya namna hiyo.

Kama umezaa na kuna uwezekano wa Mtoto kuishi mbali basi ni vyema mkafanya hivyo kuliko kuleteana maneno kwenye malezi ya mtoto wa nje.

USHAURI
KAMA HAUNA MTOTO NI VYEMA UKATAFUTA MWENZA ASIE NA MTOTO ILI KUEPUSHA MANENO KWENYE MALEZI.

Inahitaji moyo Sana kuishi na mtoto wa dume lingine ambalo hata hulijui. Mimi anaishi na mdogo wa mke wangu na mtoto wake. Bila busara unaweza ukajikuta unavuja ndowa na kusababisha mateso kwa wanao pia.
 
Back
Top Bottom