Hiki hakioni umuhimu wa familia.Kizazi hiki kina shida kila mahali.
Vitu vidogo wanavifanya kuwa vikubwa.
Sababu hata hao single maza wanaosiangwa hawakujipa mimba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiki hakioni umuhimu wa familia.Kizazi hiki kina shida kila mahali.
Vitu vidogo wanavifanya kuwa vikubwa.
Kwanin uzae watoto wengi
HaikuhusuKwanin uzae watoto wengi
Kama Hana mke sawa,na pia mtoto kukaa boarding hapana....basi huyo single mama atulie asimstress DadyBaba hana mke... hata akimchukua mtoto anaenda kukaa boarding since primary.
Plus angekua na nia njema angemchukua mtoto toka zamani alivyohit 7 yrs, why wait mtu amove on na mtu ambaye kakuzidi kila kitu ndo uanze kung'ang'ania mtoto?
Hata ungekua wewe huwezi ruhusu mtoto wako wa kike ambae una mazingira ya kuishi nae akakae na baba ambae hana mke.
FactHabari zenu,
Nimeona uzi wa Mdau akilalamika kuwa Mtoto wa Single Mother anadekezwa sana na Mama yake na akitaka kuchukua hatua Mama mtu anasema anamnyanyasa mwanaye.
Kiukweli suala la kuishi na mtoto wa mtu ni jambo gumu sana maana unahitaji kuwa Boya na Pretender ili uonekane una mapenzi kwa mtoto, ni watu wachache sana wanaoweza kuishi maisha ya namna hiyo.
Kama umezaa na kuna uwezekano wa Mtoto kuishi mbali basi ni vyema mkafanya hivyo kuliko kuleteana maneno kwenye malezi ya mtoto wa nje.
USHAURI
KAMA HAUNA MTOTO NI VYEMA UKATAFUTA MWENZA ASIE NA MTOTO ILI KUEPUSHA MANENO KWENYE MALEZI.
- Single mother tumeanza kushindwana na kutishiana maisha kisa mwanaye
Umeongea point sana, The only reason ambayo Iko valid Kwa single mother ambaye hatakiwi kubaguliwa it's either baba wa mtoto amefariki au alikuwa amebakwa. Period !Kuna msemo wa kihangaza usemeo hivi. Ukiona gogo limemshinda mwanaume mwezako wewe pita pembeni. Masingo maza walishindwa na wanaume walio wazalisha Sasa kinacho mfanya mwanaume ambaye Hana mtoto kufikiri anaweza kumudu mwanamke mwenye nini?
NAKAZIAKATAA SINGLE MOTHER, KATAA NDOA.
Hakika huo uzi wa ndugu yetu umekugusa mpaka umeuanzishia uziHabari zenu,
Nimeona uzi wa Mdau akilalamika kuwa Mtoto wa Single Mother anadekezwa sana na Mama yake na akitaka kuchukua hatua Mama mtu anasema anamnyanyasa mwanaye.
Kiukweli suala la kuishi na mtoto wa mtu ni jambo gumu sana maana unahitaji kuwa Boya na Pretender ili uonekane una mapenzi kwa mtoto, ni watu wachache sana wanaoweza kuishi maisha ya namna hiyo.
Kama umezaa na kuna uwezekano wa Mtoto kuishi mbali basi ni vyema mkafanya hivyo kuliko kuleteana maneno kwenye malezi ya mtoto wa nje.
USHAURI
KAMA HAUNA MTOTO NI VYEMA UKATAFUTA MWENZA ASIE NA MTOTO ILI KUEPUSHA MANENO KWENYE MALEZI.
- Single mother tumeanza kushindwana na kutishiana maisha kisa mwanaye
Kinagonga, kinatia mimba, na kisha mtu anatelekeza mtoto na anakuja kuwananga singo mamaz.Hiki hakioni umuhimu wa familia.
Sababu hata hao single maza wanaosiangwa hawakujipa mimba
Habari zenu,
Nimeona uzi wa Mdau akilalamika kuwa Mtoto wa Single Mother anadekezwa sana na Mama yake na akitaka kuchukua hatua Mama mtu anasema anamnyanyasa mwanaye.
Kiukweli suala la kuishi na mtoto wa mtu ni jambo gumu sana maana unahitaji kuwa Boya na Pretender ili uonekane una mapenzi kwa mtoto, ni watu wachache sana wanaoweza kuishi maisha ya namna hiyo.
Kama umezaa na kuna uwezekano wa Mtoto kuishi mbali basi ni vyema mkafanya hivyo kuliko kuleteana maneno kwenye malezi ya mtoto wa nje.
USHAURI
KAMA HAUNA MTOTO NI VYEMA UKATAFUTA MWENZA ASIE NA MTOTO ILI KUEPUSHA MANENO KWENYE MALEZI.
- Single mother tumeanza kushindwana na kutishiana maisha kisa mwanaye
Mkuu zamani ipi unayoizungumzia Joannah leo nimekuchagua tujadili mimi na wewe hapa jamvini,, Uko available labda? Karibu kwenye hoja dhidi ya hoja mamaa..Nahisi ni matoleo ya kula mayai yasiyo na baba,na kuku wasio na wazazi
Shida ni selfish na roho mbayaaInakuwaje dume zima unaoa mwanamke mwenye mtoto
Mbona wanawake wako wengi wa kuolewa hawana watoto
Mwanamume kuoa mwanamke mwenye mtoto ni kujishusha sana thamani
Ni mwanaume mpumbavu na mjinga peke yake ndiye anayeweza kulea bao la mwanaume mwenzakeShida ni selfish na roho mbayaa
Ishi na mtoto wa mtu kama utakavoishi na mwanao……. Nashindwa kuelewa shida ipo wapi ?
Wapo wanawake wanawatoto na ni potentiel kuliko hao wasio zaaa
Yaan waafrica mnashida nyingi