Kuishi na Mtoto wa kufikia ni jukumu zito sana

Kama Hana mke sawa,na pia mtoto kukaa boarding hapana....basi huyo single mama atulie asimstress Dady
 
Fact
 
My Best friend tumezinguana kisa ushauri wa kumkataza asidate na single mother kwaajili ya scenario kama hizi. The sad story mwanzoni alikuwa anakuja na kuondoka ila mpaka Sasa ameamisha majeshi kabisa..... Kuna mda nakaa nawaza Kwa sauti, itakuwa ndumba zimehusika.... Desperate times, desperate measures.
 
Kuna msemo wa kihangaza usemeo hivi. Ukiona gogo limemshinda mwanaume mwezako wewe pita pembeni. Masingo maza walishindwa na wanaume walio wazalisha Sasa kinacho mfanya mwanaume ambaye Hana mtoto kufikiri anaweza kumudu mwanamke mwenye nini?
Umeongea point sana, The only reason ambayo Iko valid Kwa single mother ambaye hatakiwi kubaguliwa it's either baba wa mtoto amefariki au alikuwa amebakwa. Period !
 
Hakika huo uzi wa ndugu yetu umekugusa mpaka umeuanzishia uzi
 

Hasa kakiwa ka kiume,vibishi na vina kiburi hatari.
 
Nahisi ni matoleo ya kula mayai yasiyo na baba,na kuku wasio na wazazi
Mkuu zamani ipi unayoizungumzia Joannah leo nimekuchagua tujadili mimi na wewe hapa jamvini,, Uko available labda? Karibu kwenye hoja dhidi ya hoja mamaa..
 
Inakuwaje dume zima unaoa mwanamke mwenye mtoto

Mbona wanawake wako wengi wa kuolewa hawana watoto

Mwanamume kuoa mwanamke mwenye mtoto ni kujishusha sana thamani
Shida ni selfish na roho mbayaa

Ishi na mtoto wa mtu kama utakavoishi na mwanao……. Nashindwa kuelewa shida ipo wapi ?

Wapo wanawake wanawatoto na ni potentiel kuliko hao wasio zaaa

Yaan waafrica mnashida nyingi
 
Shida ni selfish na roho mbayaa

Ishi na mtoto wa mtu kama utakavoishi na mwanao……. Nashindwa kuelewa shida ipo wapi ?

Wapo wanawake wanawatoto na ni potentiel kuliko hao wasio zaaa

Yaan waafrica mnashida nyingi
Ni mwanaume mpumbavu na mjinga peke yake ndiye anayeweza kulea bao la mwanaume mwenzake

Yaani mwanamke atombwe hadi atiwe mimba halafu msenge mmoja ndiyo aje kulea mtoto wa mwanaume mwenzake

Inahitaji uwe mjinga kufanya upumbavu kama huo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…