Kuishi na mwanamke mjamzito ni zaidi ya gereza

Kuishi na mwanamke mjamzito ni zaidi ya gereza

Mi sitasahau siku hiyo amenipigia cm analia afu haongei kitu nikajua kuna tatizo ikibidi niache nilichokuwa nafanya niwahi nyumbani.kwenda namkuta kanuna hata kuongea na mimi hataki.namuuliza umeniitia nini ananiambia sijakuita.nikakumbuka ni kweli hajaniita bali alikuwa analia tu ikabidi niwe mpole maana hasira ilinishika kidogo tu nimshone

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom