Una roho mbaya sana sasa huyo mkeo au adui beduiHuo upuuzi endeleeni kuufanya tu,
Ubabe unaepusha na mengi hata kama atenda lebour leo sina cha kumfanyia shughuli zote zinamsubiri I don’t care hali anayopitia kijeda tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una roho mbaya sana sasa huyo mkeo au adui beduiHuo upuuzi endeleeni kuufanya tu,
Ubabe unaepusha na mengi hata kama atenda lebour leo sina cha kumfanyia shughuli zote zinamsubiri I don’t care hali anayopitia kijeda tu
Hapo mzee baba hujapata mtoto wa kiume? Maana nauzoefu sana kwa wanawake wanaobeba mimba za mtoto wa kiumeWakuu habari zetu, mimi ni kijana nimeoa takribani miaka miwili iliopita, nashukuru Mungu mwaka huu kajifungua salama.sasa kimbembe nilichokutana nacho alipokuwa mjamzito siji kusahau kuna siku nilitoka kazini nafika tu home namkuta anaanda msosi ile namsalimia tu za kushinda mwenzangu kakausha nikaongea mara ya pili kimya basi nikaondoka nikaenda kujipumzisha. Alipomaliza kupika akala naye kaja kulala hata kuniita msosi tayari hakuna.
Nikaamka nikaenda kula nikarudi kulala kimya kimya kesho yake asubuhi wakati najiandaa kwenda job akasema usiporudi na matunda utahama nyumba hii daa nilipandwa na hasira sikimjibu jioni niliporudi nikamnunulia alivyoagiza nikamletea muda mwingine anatumia amri nikampikie alikuwa mkali acha tu.
Lakini sasa hivi toka ajifungue kawa mpole kama sio yule na mimi nilimwekea tu akijifungua akija kunizingua hasira nimvuluga kweli.
Kama kuna yoyote aliyewahi kukumbwa na kashia kama hii asimulie
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hebu anza na kimi tuone[emoji12]
kama umeotea vile cha kiume aiseHapo mzee baba hujapata mtoto wa kiume? Maana nauzoefu sana kwa wanawake wanaobeba mimba za mtoto wa kiume
Hahaaa like charges repel, ni kawaida ukiona mwanamke anamimba changa hafu anakupenda sana na kukuonea wivu atakuwa kabeba wa kikekama umeotea vile cha kiume aise
Mweeeeh!! Kumbe hadi nikuje[emoji134][emoji134][emoji134]
Mmh!Ndoa za watoto hizi! Kuishi na mwanamke is an art sio ujanjaujanja.....
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji3]Mimi nahisi wangu atakua ananiambia niiingize gari yetu hammer tutakayokua tumenunua chumbani kitandani alale nayo.
[emoji23]Mi sitasahau siku hiyo amenipigia cm analia afu haongei kitu nikajua kuna tatizo ikibidi niache nilichokuwa nafanya niwahi nyumbani.kwenda namkuta kanuna hata kuongea na mimi hataki.namuuliza umeniitia nini ananiambia sijakuita.nikakumbuka ni kweli hajaniita bali alikuwa analia tu ikabidi niwe mpole maana hasira ilinishika kidogo tu nimshone
Sent using Jamii Forums mobile app
HahahahaMi sitasahau siku hiyo amenipigia cm analia afu haongei kitu nikajua kuna tatizo ikibidi niache nilichokuwa nafanya niwahi nyumbani.kwenda namkuta kanuna hata kuongea na mimi hataki.namuuliza umeniitia nini ananiambia sijakuita.nikakumbuka ni kweli hajaniita bali alikuwa analia tu ikabidi niwe mpole maana hasira ilinishika kidogo tu nimshone
Sent using Jamii Forums mobile app
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Wakuu habari zetu, mimi ni kijana nimeoa takribani miaka miwili iliopita, nashukuru Mungu mwaka huu kajifungua salama.sasa kimbembe nilichokutana nacho alipokuwa mjamzito siji kusahau kuna siku nilitoka kazini nafika tu home namkuta anaanda msosi ile namsalimia tu za kushinda mwenzangu kakausha nikaongea mara ya pili kimya basi nikaondoka nikaenda kujipumzisha. Alipomaliza kupika akala naye kaja kulala hata kuniita msosi tayari hakuna.
Nikaamka nikaenda kula nikarudi kulala kimya kimya kesho yake asubuhi wakati najiandaa kwenda job akasema usiporudi na matunda utahama nyumba hii daa nilipandwa na hasira sikimjibu jioni niliporudi nikamnunulia alivyoagiza nikamletea muda mwingine anatumia amri nikampikie alikuwa mkali acha tu.
Lakini sasa hivi toka ajifungue kawa mpole kama sio yule na mimi nilimwekea tu akijifungua akija kunizingua hasira nimvuluga kweli.
Kama kuna yoyote aliyewahi kukumbwa na kashia kama hii asimulie
Ninapokaa hapa Kuna mama kijacho Wala Hana kisirani ila anakula pilipili sanaaa....
Sent using Jamii Forums mobile app