Kuishi na mwanamke mjamzito ni zaidi ya gereza

Kuishi na mwanamke mjamzito ni zaidi ya gereza

Mwanamke akiwa mjamzito usikubali kuwa akili huwa inabadilika hakuna. Mbona maofisini wajawazito kibao na kazi zinakwenda. Mm wa kwangu kuna kipindi alikataa kunifungulia nimetoka kucheki game usiku halafu mbaya zaidi timu yangu ilikuwa imefungwa.

Nilimchimba beat faster akafungua akijifanya kudekadeka nilimwagia ndoo nzima ya maji usoni, mbona alipiga magoti akasema harudi tena dadek.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji3] Mama Junior wangu ujauzito wa Jr kunasiku usiku kama saa6 hv kuna tamthilia ya ki Filipino alikua anapenda kuifatilia

Sasa ameangalia kuna tangazo likapita wakaonyesha Chips kuku nilitumwa usiku chips kuku pamoja na juice ya Fursna chips nilipata kipengele ikawa Fursna nikarudi bila hiyo akasusa

Ikabidi nikodi bodaboda kwenda mtaa mwingine kabisa kuifata kurudi karibia saa 7 akala kidogo na juice kidogo akasema roho imesuuzika nilitaman nimvunje mbavu sema ndio tafanyaje🤣

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji16][emoji3][emoji3][emoji3][emoji2][emoji2]hata ukioga mkuu

kelphin kepph
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mimi hua napenda kula vitu vizuri ila sisumbui mtu naenda nunua mwenyewe au naagiza online. Unakuta umemiss chips za msasani wewe upo mbezi beach. Mama na aheshimiwe
[emoji3] Mama Junior wangu ujauzito wa Jr kunasiku usiku kama saa6 hv kuna tamthilia ya ki Filipino alikua anapenda kuifatilia

Sasa ameangalia kuna tangazo likapita wakaonyesha Chips kuku nilitumwa usiku chips kuku pamoja na juice ya Fursna chips nilipata kipengele ikawa Fursna nikarudi bila hiyo akasusa

Ikabidi nikodi bodaboda kwenda mtaa mwingine kabisa kuifata kurudi karibia saa 7 akala kidogo na juice kidogo akasema roho imesuuzika nilitaman nimvunje mbavu sema ndio tafanyaje[emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mm huwa anapenda dyudyu tu.. kwahyo huwa sichazi mbali baada kurud job.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Wakuu habari zetu,mm nikijana nimeoa takribani miaka miwili iliopita s lakushukulu mungu mwaka huu kajifungua salama.sasa kimbembe nilichokutana nacho alipokua kua mjamzito sijikusahau kuna siku nilitoka kazini nafika tu home namkuta anaanda msosi ile nmsalimia tu za kushinda mwenzangu kakausha nikaongea Mara ya pili kimya bas nikaondoka nikaenda kujipumzisha.alipomaliza kupika akala nae kaja kulala hata kuniitasosi tayari hakuna.

Nikaamka nikenda kula nikarudi kulala kimya kimya kesho yake asubui wakati najiandaa kwenda job akasema usipoludi namatunda utahama nyumba hii daa nilipandwa na asila sikimjibu jion nilipoludi nikamnunulia alivyo agiza nikamletea mda mwingine anatumia amri nikampikie alikua mkali acha tu.

lakin saiz toka ajifungue kawa mpole kama sio yule namm nilimwekea tu akijifungua akijakunizingua asila nimvuluga kweli.***
Kama kuna yoyte alie waikukumbwa na kashia kama hii asimulie
Dah sitosahau siku nilipoagizwa dukani pipi kifua napangiwa na duka lakununulia et kachukue kwa flani ndyo nzur jaman hata staman kabsa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi wa kwangu hapa mjamzito muziki ninaochezeshwa dah angekuwa sio mjamzito ningemrudisha kwao.

Nasubili ajifungue asipobadilika ndoa hii naivunja.

Nimeoa mwaka Jana tu mwezi wa nane

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mimi hua napenda kula vitu vizuri ila sisumbui mtu naenda nunua mwenyewe au naagiza online. Unakuta umemiss chips za msasani wewe upo mbezi beach. Mama na aheshimiwe
[emoji3][emoji3] huwaga inatokana na nini embu tujuzeni au mnafanyaga kusudi kwakuwa mnajua akili zetu zimehamia kwa kijacho na alie mbeba kijacho?

Tunavumiliaga mengi sana kunakipindi kikaja cha kuvaa matishet yangu ukimwambia utalichana na kitumbo au halito kutosha anakujibu mwanao anataka harufu yako basi litavaliwa kwa lazima hata likiishia kifuani haoni tabu

Huwaga nikikumbuka na nikimkumbusha anacheka ananiambia kubwa linkuja kwa mdogo wake sasa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usichezee craving.
Naona ni psychological factors na wengine kuiga tu. Kila mtu na inavyomjia. Mwingine akiwa mjanzito maji anaona kama moto, haogi. Kuna tafiti moja ilisema kua ujauzito hubadilisha ubongo wa mwanamke.
[emoji3][emoji3] huwaga inatokana na nini embu tujuzeni au mnafanyaga kusudi kwakuwa mnajua akili zetu zimehamia kwa kijacho na alie mbeba kijacho?

Tunavumiliaga mengi sana kunakipindi kikaja cha kuvaa matishet yangu ukimwambia utalichana na kitumbo au halito kutosha anakujibu mwanao anataka harufu yako basi litavaliwa kwa lazima hata likiishia kifuani haoni tabu

Huwaga nikikumbuka na nikimkumbusha anacheka ananiambia kubwa linkuja kwa mdogo wake sasa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu habari zetu,mm nikijana nimeoa takribani miaka miwili iliopita s lakushukulu mungu mwaka huu kajifungua salama.sasa kimbembe nilichokutana nacho alipokua kua mjamzito sijikusahau kuna siku nilitoka kazini nafika tu home namkuta anaanda msosi ile nmsalimia tu za kushinda mwenzangu kakausha nikaongea Mara ya pili kimya bas nikaondoka nikaenda kujipumzisha.alipomaliza kupika akala nae kaja kulala hata kuniitasosi tayari hakuna.

Nikaamka nikenda kula nikarudi kulala kimya kimya kesho yake asubui wakati najiandaa kwenda job akasema usipoludi namatunda utahama nyumba hii daa nilipandwa na asila sikimjibu jion nilipoludi nikamnunulia alivyo agiza nikamletea mda mwingine anatumia amri nikampikie alikua mkali acha tu.

lakin saiz toka ajifungue kawa mpole kama sio yule namm nilimwekea tu akijifungua akijakunizingua asila nimvuluga kweli.***
Kama kuna yoyte alie waikukumbwa na kashia kama hii asimulie
Huo upuuzi endeleeni kuufanya tu,
Ubabe unaepusha na mengi hata kama atenda lebour leo sina cha kumfanyia shughuli zote zinamsubiri I don’t care hali anayopitia kijeda tu
 
[emoji3] Mama Junior wangu ujauzito wa Jr kunasiku usiku kama saa6 hv kuna tamthilia ya ki Filipino alikua anapenda kuifatilia

Sasa ameangalia kuna tangazo likapita wakaonyesha Chips kuku nilitumwa usiku chips kuku pamoja na juice ya Fursna chips nilipata kipengele ikawa Fursna nikarudi bila hiyo akasusa

Ikabidi nikodi bodaboda kwenda mtaa mwingine kabisa kuifata kurudi karibia saa 7 akala kidogo na juice kidogo akasema roho imesuuzika nilitaman nimvunje mbavu sema ndio tafanyaje[emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
mume bwege katika ubora wako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom