mwanazuoni mgeni
JF-Expert Member
- Sep 11, 2016
- 1,944
- 1,726
For sure adseWanaigiza tu hao
Mbona wanaobebea mimba majumbani kwao mfano ni binti au mwanafunzi wanakuwa na adabu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli kabisaUpo sahihi...ni maigizo tu hayo na wengi wanaanzaga kuonesha tabia zao halisi mbovumbovu wakat wa ujauzito wakiamin kigezo cha mimba kinawabeba
Sent using Jamii Forums mobile app
miezi mitatu ya mwanzo ila ujauzito una mtu na mtu wengine wakibeba hwaumwi hwchagui chochote hawana shid yoyote wengine ndio kama mke wa huyu mtoa mada
Sasa si unaweza piga afu akajifungua Sikh hiohioWanaigiza tu hao
Mbona wanaobebea mimba majumbani kwao mfano ni binti au mwanafunzi wanakuwa na adabu
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilikua sijawaza hili[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wanaigiza tu hao
Mbona wanaobebea mimba majumbani kwao mfano ni binti au mwanafunzi wanakuwa na adabu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa si unaweza piga afu akajifungua Sikh hiohio
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hata mke wa kuchora huna, huyo aliyekuamsha usku usiku nani?!
Hivi pombe imekuacha salama kweli pampula? Nahisi wewe huu usumbufu umeukwepa.