[emoji3] Mama Junior wangu ujauzito wa Jr kunasiku usiku kama saa6 hv kuna tamthilia ya ki Filipino alikua anapenda kuifatilia
Sasa ameangalia kuna tangazo likapita wakaonyesha Chips kuku nilitumwa usiku chips kuku pamoja na juice ya Fursna chips nilipata kipengele ikawa Fursna nikarudi bila hiyo akasusa
Ikabidi nikodi bodaboda kwenda mtaa mwingine kabisa kuifata kurudi karibia saa 7 akala kidogo na juice kidogo akasema roho imesuuzika nilitaman nimvunje mbavu sema ndio tafanyaje[emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah sitosahau siku nilipoagizwa dukani pipi kifua napangiwa na duka lakununulia et kachukue kwa flani ndyo nzur jaman hata staman kabsaWakuu habari zetu,mm nikijana nimeoa takribani miaka miwili iliopita s lakushukulu mungu mwaka huu kajifungua salama.sasa kimbembe nilichokutana nacho alipokua kua mjamzito sijikusahau kuna siku nilitoka kazini nafika tu home namkuta anaanda msosi ile nmsalimia tu za kushinda mwenzangu kakausha nikaongea Mara ya pili kimya bas nikaondoka nikaenda kujipumzisha.alipomaliza kupika akala nae kaja kulala hata kuniitasosi tayari hakuna.
Nikaamka nikenda kula nikarudi kulala kimya kimya kesho yake asubui wakati najiandaa kwenda job akasema usipoludi namatunda utahama nyumba hii daa nilipandwa na asila sikimjibu jion nilipoludi nikamnunulia alivyo agiza nikamletea mda mwingine anatumia amri nikampikie alikua mkali acha tu.
lakin saiz toka ajifungue kawa mpole kama sio yule namm nilimwekea tu akijifungua akijakunizingua asila nimvuluga kweli.***
Kama kuna yoyte alie waikukumbwa na kashia kama hii asimulie
[emoji3][emoji3] huwaga inatokana na nini embu tujuzeni au mnafanyaga kusudi kwakuwa mnajua akili zetu zimehamia kwa kijacho na alie mbeba kijacho?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mimi hua napenda kula vitu vizuri ila sisumbui mtu naenda nunua mwenyewe au naagiza online. Unakuta umemiss chips za msasani wewe upo mbezi beach. Mama na aheshimiwe
[emoji3][emoji3] huwaga inatokana na nini embu tujuzeni au mnafanyaga kusudi kwakuwa mnajua akili zetu zimehamia kwa kijacho na alie mbeba kijacho?
Tunavumiliaga mengi sana kunakipindi kikaja cha kuvaa matishet yangu ukimwambia utalichana na kitumbo au halito kutosha anakujibu mwanao anataka harufu yako basi litavaliwa kwa lazima hata likiishia kifuani haoni tabu
Huwaga nikikumbuka na nikimkumbusha anacheka ananiambia kubwa linkuja kwa mdogo wake sasa
Sent using Jamii Forums mobile app
Huo upuuzi endeleeni kuufanya tu,Wakuu habari zetu,mm nikijana nimeoa takribani miaka miwili iliopita s lakushukulu mungu mwaka huu kajifungua salama.sasa kimbembe nilichokutana nacho alipokua kua mjamzito sijikusahau kuna siku nilitoka kazini nafika tu home namkuta anaanda msosi ile nmsalimia tu za kushinda mwenzangu kakausha nikaongea Mara ya pili kimya bas nikaondoka nikaenda kujipumzisha.alipomaliza kupika akala nae kaja kulala hata kuniitasosi tayari hakuna.
Nikaamka nikenda kula nikarudi kulala kimya kimya kesho yake asubui wakati najiandaa kwenda job akasema usipoludi namatunda utahama nyumba hii daa nilipandwa na asila sikimjibu jion nilipoludi nikamnunulia alivyo agiza nikamletea mda mwingine anatumia amri nikampikie alikua mkali acha tu.
lakin saiz toka ajifungue kawa mpole kama sio yule namm nilimwekea tu akijifungua akijakunizingua asila nimvuluga kweli.***
Kama kuna yoyte alie waikukumbwa na kashia kama hii asimulie
miezi mitatu ya mwanzo ila ujauzito una mtu na mtu wengine wakibeba hwaumwi hwchagui chochote hawana shid yoyote wengine ndio kama mke wa huyu mtoa mada
mume bwege katika ubora wako[emoji3] Mama Junior wangu ujauzito wa Jr kunasiku usiku kama saa6 hv kuna tamthilia ya ki Filipino alikua anapenda kuifatilia
Sasa ameangalia kuna tangazo likapita wakaonyesha Chips kuku nilitumwa usiku chips kuku pamoja na juice ya Fursna chips nilipata kipengele ikawa Fursna nikarudi bila hiyo akasusa
Ikabidi nikodi bodaboda kwenda mtaa mwingine kabisa kuifata kurudi karibia saa 7 akala kidogo na juice kidogo akasema roho imesuuzika nilitaman nimvunje mbavu sema ndio tafanyaje[emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi pombe imekuacha salama kweli pampula? Nahisi wewe huu usumbufu umeukwepa.
Wanatukomesha maofisiniInategemea kama ana mtu wa kufanyia kisirani, single maza wanaolea mimba wenyewe huwa wanafanyaje?
[emoji1] Sometimes kuonyesha ubwege katika jambo la kufanikiwa ni bora zaidi siunajua bwege hafi ila shujaa huwa ankufa na ndoto za wengi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]