Kuishi na mwanamke mjamzito ni zaidi ya gereza

Huo upuuzi endeleeni kuufanya tu,
Ubabe unaepusha na mengi hata kama atenda lebour leo sina cha kumfanyia shughuli zote zinamsubiri I don’t care hali anayopitia kijeda tu
Una roho mbaya sana sasa huyo mkeo au adui bedui
 
Hapo mzee baba hujapata mtoto wa kiume? Maana nauzoefu sana kwa wanawake wanaobeba mimba za mtoto wa kiume
 
doh nna jamaa yangu hapa aliamshwa saa 9 usiku ,mkewe anataka karanga za kutafuna. . alikuja kunigongea kulala kwangu asee.
#kesho mke kugomba akamwambia ukileta visa vya aina hiyo nakupeleka kwetu ukajifungulie huko. mke akatulia na mpka kujifungua bila longolongo tena .huwa wanafanya makusudi tu.
 
[emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahaha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…