Kuishi na Mwanamke na kuzaa naye watoto Si Mke ni Mzinzi Mwenzio,Funga ndoa Utalindwa!

Kuishi na Mwanamke na kuzaa naye watoto Si Mke ni Mzinzi Mwenzio,Funga ndoa Utalindwa!

Jaji Mfawidhi

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2016
Posts
15,835
Reaction score
23,776


Ndoa ziheshimiwe na ndio maana halisi ya ndoa.
Viungo viwili vya uzazi vinapokutana kitendo ni kimoja ila majina ya kile kitendo yanatofautiana kutokana na mukhtadha!
  1. Ukiwa umeoana , mume na mke basi "wanafanya tendo la ndoa'.
  2. Ukiwa una mke na mwezio ana mume ila mkakutanisha vioungo vyenu basi ni "uasherati"
  3. Ukiwa hujao na mwenzako hajaolewa ni "uzinzi"
Huyu kijana wa Magomeni kota alikuwa anaishi na mzinzi mwenzake na si mke, kama anataka kuwa na mke wakafunge ndioa bomani, kwa Shekhe, Kwa Mchungaji au padre na wakitaka kabis kuondoa gharama wafunge kimila huko uzaramoni ila "waisajili RITA"

Vijana wengi hasa wa kislamu na walio kataa shule, wanafikiri kuishi na mwanamke miaka kenda ndio kunafanya kuwa mke.

Ukweli ni kwamba , kuishi na mwanamke , hata mzae watoto 10 na kuishi miaka 30 , huyo ni mzinzi mwenzio na mmezaa watoto wa Zinaa.

Mwanamke wako akigongwa na rafki yako ama jirani huna pa kushitaki maana si wako , ni wazinzi mlio kubaliana!

Huyu kijana anayelia lia hapa , hana mamlaka na huyo aliyekuwa mzinzi mwenzi ambaye sasa ameolewa rasmi.​
 
Hamna kupangiana maisha, kama mnakulana kulaneni kikubwa msivunje Sheria za nchi
 
View attachment 3259606

Ndoa ziheshimiwe na ndio maana halisi ya ndoa.
Viungo viwili vya uzazi vinapokutana kitendo ni kimoja ila majina ya kile kitendo yanatofautiana kutokana na mukhtadha!
  1. Ukiwa umeoana , mume na mke basi "wanafanya tendo la ndoa'.
  2. Ukiwa una mke na mwezio ana mume ila mkakutanisha vioungo vyenu basi ni "uasherati"
  3. Ukiwa hujao na mwenzako hajaolewa ni "uzinzi"
Huyu kijana wa Magomeni kota alikuwa anaishi na mzinzi mwenzake na si mke, kama anataka kuwa na mke wakafunge ndioa bomani, kwa Shekhe, Kwa Mchungaji au padre na wakitaka kabis kuondoa gharama wafunge kimila huko uzaramoni ila "waisajili RITA"

Vijana wengi hasa wa kislamu na walio kataa shule, wanafikiri kuishi na mwanamke miaka kenda ndio kunafanya kuwa mke.

Ukweli ni kwamba , kuishi na mwanamke , hata mzae watoto 10 na kuishi miaka 30 , huyo ni mzinzi mwenzio na mmezaa watoto wa Zinaa.

Mwanamke wako akigongwa na rafki yako ama jirani huna pa kushitaki maana si wako , ni wazinzi mlio kubaliana!

Huyu kijana anayelia lia hapa , hana mamlaka na huyo aliyekuwa mzinzi mwenzi ambaye sasa ameolewa rasmi.​
Na akiwa kaoa na mshirika hajaolewa, kiswahili chake watakuwa wanafanyaje hapo?
 
Wanaotoka nje ya ndoa ndio wazinzi mkuu. Uasherati kwa walio nje ya ndoa. Tafadhari rekebisha hoja yako.
 
Hamna dhambi ya jumla. Kwa aliyeoa au kuolewa amezini, na ambaye hajaoa au kuolewa kafanya uasherati.
Kwa hiyo wakikutana married na single kufanya ngono, majina ya dhambi zao hutofautiana, aliye kwenye ndoa atakuwa kazini, single atakuwa kafanya uashetati!
 
  • Thanks
Reactions: I M
Kwa hiyo wakikutana married na single kufanya ngono, majina ya dhambi zao hutofautiana, aliye kwenye ndoa atakuwa kazini, single atakuwa kafanya uashetati!
Ndio mkuu, tendo hilo hilo na watu ni wale wale lakini majina tofauti.
 
View attachment 3259606

Ndoa ziheshimiwe na ndio maana halisi ya ndoa.
Viungo viwili vya uzazi vinapokutana kitendo ni kimoja ila majina ya kile kitendo yanatofautiana kutokana na mukhtadha!
  1. Ukiwa umeoana , mume na mke basi "wanafanya tendo la ndoa'.
  2. Ukiwa una mke na mwezio ana mume ila mkakutanisha vioungo vyenu basi ni "uasherati"
  3. Ukiwa hujao na mwenzako hajaolewa ni "uzinzi"
Huyu kijana wa Magomeni kota alikuwa anaishi na mzinzi mwenzake na si mke, kama anataka kuwa na mke wakafunge ndioa bomani, kwa Shekhe, Kwa Mchungaji au padre na wakitaka kabis kuondoa gharama wafunge kimila huko uzaramoni ila "waisajili RITA"

Vijana wengi hasa wa kislamu na walio kataa shule, wanafikiri kuishi na mwanamke miaka kenda ndio kunafanya kuwa mke.

Ukweli ni kwamba , kuishi na mwanamke , hata mzae watoto 10 na kuishi miaka 30 , huyo ni mzinzi mwenzio na mmezaa watoto wa Zinaa.

Mwanamke wako akigongwa na rafki yako ama jirani huna pa kushitaki maana si wako , ni wazinzi mlio kubaliana!

Huyu kijana anayelia lia hapa , hana mamlaka na huyo aliyekuwa mzinzi mwenzi ambaye sasa ameolewa rasmi.​
Fact ila pia Kuna opposers watabisha kweny ILO
 
Back
Top Bottom