Kuishi na ndugu wa mume

Mwambie asikubal ndo kubembeleza ndoa ama dogo arud kwao kijijn kwa nn awakoseshe watu aman tatzo watu hamuw wawaz kwan amekuoa mpaka uanze kuletewa watu
 
Badilisha namna ya uandishi ili siku nyingine ueleweke na upate msaada. Halaf haina haja ya kubold
 
We mueleze ukweli kama hayuko tayari kuolewa aacha aendelee na maisha yake ya kudanga
 

Mimi ntalipia gharama zote naomba umfundishe mleta uzi namna ya kuandika maana baada ya kufikiria cha kumshauri tunaanza kufikiria kwanza sentesi ipi ianze, ipi ije kati na ipi iwe mwishoni ili upate maana, binafsi nimemuelewa lakini baada ya kurudia kama mara tatu hivi!!!!
 
Mtakwazana, mtakerana, mtavurugana wakati hata hiyo ndoa haijaonjwa. Aende kwao or akakae na ndugu yake, ye kamshindwa we ndo utakuweza?
Afu huyo mwanaume kama vile kaanza u-ganda la ndizi mapema sana kuna Mme kweli hapo????
 
nimejaribu kukuelewa japo taabu.....masauala na uchumba wa kushikiana sio sahihi kabisa......kama wanapendana,,,,weshatambulishana.......mahari ishatolewa.......mwambie binti akomae waanze maisha.....habari ya ndugu za mchumbake tupa kule........kwa mbali naona hamna ndoa hapo ni ulaghai kamilifu.....mfikishie huu ujumbe haswa kama si wewe.
 
Kuna mambo mengine huwa hayahitaji ushauri zaidi ya utashi na akili ya kawaida.
Kwamfano mimi binafsi, siwezi kuruhusu hata mdogo wangu wa damu moja akuje kukaa kwangu hadi apate maisha, pengine ninaweza nikamsaidia huko alipo ili apate maisha na sio kuja kukaa nyumbani kwangu.
 
Nimepata tabu kuielewa ila nimerudia rudia mpaka nimeelewa.

Unajua kuna mambo mengine sisi wenyewe wanaume ndio huwa tunakosea halafu tunaanza kuwaona wenza wetu wabaya. Nduguyo kuja kuishi kwako sio Tatizo, ila tatizo litakuja pale usipompa miiko na taratibu za nyumbani kwako ambapo atataka nduguyo atawale pale ndani kama Mume. Cha msingi ni kumwambia tu huyo binti arudi kwa mama yake akaishi huko na si kutaka kuharibia watu Faragha zao.
 
Gooooooooooooooood
 
Sijaelewa main body ila mambo ya kuganda ndugu maisha hayo badilikeni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…