Kuishi na ndugu wa mume

Mapema yote hiyo hata ndoa bado
Asipoangalia hata ndoa yenyewe ataikosa, maana atamwambia mama yake anateswa
na mchumba wa uncle, dada mtu atavuruga uchumba amwambie tu hapana
 
dah inachanganya hii kiasi...sina hakika kama nimeelewa inavotakiwa labda nirudie maara mbili au tatu
 
Pole sana rafiki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…