Kuitana 'babe' kwenye mahusiano ni utoto na mwanzo wa kukosa kuheshimika, hasa kwa mwanamme

Naona wanaume wenzio wanakushambulia kwelikweli. Lols

Mi wa kwangu juzi nilimuuliza anapenda nikimuita nani zaidi akajibu yote mazuri, doh!
Wa kwako bado ni mpya, kila kitu kizuri kwa stage hiyo.
 
Se

Sema tu umevurugwa na mkeo acha kuzunguka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…