Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Imagine mwanamme unaitwa babe sijui baby, yaani mtoto?
Hii sio kweli.
Kwa mwanamke ni sawa, sababu hata kwa kiswahili tunawaita watoto yaani 'totoz' au 'bebez'.... kwa mwanamme ina maana gani?
Kama ni kwa mahaba, basi iishie siku za mwanzo tu za uchumba ile kudanganyia.... ukishanasa haina maana tena na sio heshima.
Mkeo akuite kwa heshima na hadhi yako, majina yanayosadifu mamlaka yako ndani ya nyumba.
Bwana, baba au mume na mengine ya kufanana hivyo kwa lugha yoyote yatumike sana.
Japo mapenzi ni utoto, ila familia haihitaji mapenzi tu bali heshima na wajibu kuijenga.... huwezi kumtiisha mtu anayekuita 'mtoto'.
Ncha Kali
Suala la kuachana na mtu halihusiani na majina mnayoitana muhimu usimuite jina la tusiHujali heshima yake, hivyo mtaachana sio muda.
Kikongwe hicho... Haya mambo ya mapenzi watu waliopendana full kushibana wanakua na utoto mwingi sana wakiwa wenyewe😁😁Sasa uwe serious kwa binti wa miaka 24 kwel?Wazee wa 19… 🤣
YeahUkimkataza mke wako kukuita baby, saikolojia yake itamtuma kutafuta mtu atakayekuwa anamuita baby!
Duh ushapata mwingine🤔Naona wanaume wenzio wanakushambulia kwelikweli. Lols
Mi wa kwangu juzi nilimuuliza anapenda nikimuita nani zaidi akajibu yote mazuri, doh!
Daah broo cool downWizi tu,dume zima na ndevu zake linaitwa baby na lenyewe linakenua tu meno hihihii.
Mara kigongo "baby nna shida ya laki” pa kuchomoka huna ukichukulia ulishaitwa baby utaenda hata kukopa umpe.
Atakuja kwa hasira hapa😂Akae kwa kutulia huyo, familia yangu ni independent empire so tusipangiane 😅😅😅