Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kuitwa Ikulu sio ajabu hata vichaa kina Stiv Nyerere huwa wanaitwa.kwaio sio jambo la maana sana.Robo fainali sio mafanikio yanayoweza kutambulika kisheria.
Kwanini wameitwa walio shiriki fainali na walio ishia robo wakapotezewa?
EGYPT baada ya kubeba AFCON mwaka 2006, wakaalikwa dinner na Rais wao Sufi Abou Taleb wa wakat huo.Ikulu ya Tanzania ni gundu kaka,Ivory Cost ya kina Drogba iko wapi?.
mpaka sasa Ivory Cost aipo tena kwenye ramani ya soka la Africa waliitwa Ikulu ya bongo wakaenda kubeba gundu.
Nakubaliana na wewe.kuitwa Ikulu sio ajabu hata vichaa kina Stiv Nyerere huwa wanaitwa.kwaio sio jambo la maana sana.
Simba na Yanga akuna aliyebeba taji la CAF.
Iyo ni Egypt kaka sio bongo.EGYPT baada ya kubeba AFCON mwaka 2006, wakaalikwa dinner na Rais wao Sufi Abou Taleb wa wakat huo.
Miaka 2 baadae wakabeba AFCON - 2008
Miaka 2 baadae wakabeba tena AFCON - 2010
Kuna gundu lipi lingine unalo maanisha...?
Iyo ni Egypt kaka sio bongo.
Na Ivory Cost ni BONGO...?Ikulu ya Tanzania ni gundu kaka,Ivory Cost ya kina Drogba iko wapi?.
mpaka sasa Ivory Cost aipo tena kwenye ramani ya soka la Africa waliitwa Ikulu ya bongo wakaenda kubeba gundu.
CUFIyo ni timu ya Ligi daraja la kwanza. Taja ya LigiKUU.
ACTClube de Union Ferreviaro iko Msumbuji haijawahi cheza CAFCC...!
Taja nyingine.
CCM BAtletic Club De Tijuana iko Mexico.
hakuna kitu km icho na hakitawai kuja tokearobo final ya Simba paliwabeba mkawa mnashirki Champions muwe na shukrani hata kidogo.
Wacha wee!hakuna kitu km icho na hakitawai kuja tokea
Ilikua utawala wa Msoga.Na Ivory Cost ni BONGO...?