DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Umasikini ndo chanzo cha kuwa na jamii katili Kama hizo.
MTU ameiba unamkatamata then unamsikiliza baada ya hapo unampeleka police wakamalizane naye.
Kuna watu wamefungwa jela kwa makosa Kama haya ya kupiga watu na kuwaua.
Jamii duni na zenye UPEO mdogo wa fikra ndo hufanya haya mambo.
MTU ameiba unamkatamata then unamsikiliza baada ya hapo unampeleka police wakamalizane naye.
Kuna watu wamefungwa jela kwa makosa Kama haya ya kupiga watu na kuwaua.
Jamii duni na zenye UPEO mdogo wa fikra ndo hufanya haya mambo.