pebo da great
Member
- Nov 17, 2011
- 20
- 1
Hawajaita tra hao jamaa wanabwabwaja tu usihofu wakiita ukweli utajua jst be patient
Mimi niliomba nafasi ya Preventive Assistant TRA na sijapigiwa simu wala barua kutumiwa bado.Je inawezekana miongoni mwa walioitwa ndo hao mapreventive assistants nini!.Tujulishane jamani manake taarifa hizi hazimo hata ktk mtandao wa TRA hazipo.Sijui kwa nini ni mambo ya siri siri.
wizi wa nini wakati wao wameita na mm natoa taarifa kwa wadau...ingekuwa ya kuwekwa ningewaambia kweli?? au..