kuizuia Katiba Inayopendekezwa isipite ni sawa na kuzuia Tsunami kwa kutumia mikono.

Kwanza mimi si kijana kama unavyodhani. Pengine uelewa kuwa mimi si kama wewe unaeendeshwa kwa kumuangalia nani kasema nini. Mimi ni muelewa wa mambo na sio mdandia basi. Njoo na hoja na uache mambo ya ukawa au usahani.

Katiba usipime, najua itapatikana tu hata kama mkisinzia au mkiamka itakuja tu!!
 
mkuu ngekewa hili ndio tatizo la vitoto vya dotcom ni sheedah yaani sheeeedah!! havina tofauti na kuku wa kidhungu

Mwallaaaa This is digital Era if you dont agree get out pf here,the new proposed constitution is inevtable!!!
 
Mwallaaaa This is digital Era if you dont agree get out pf here,the new proposed constitution is inevtable!!!
walewalee!!! sijui kaibukia wapi na karatasi lake la MSALANI.. eti NDIO utapiga wewe na mumeo na hiyo mimba yako
 
mwalla asili aka the banned and new mwalla4 real kibaraka wa kupinga katiba mpya tanzania utatulia tu!!!View attachment 245446
iloooooo hahahahaaa limebadili jina baada ya kugongwa na moderetor....
Senzi ngoja ukuwe utazipokea sana tu hizo pin... Kwa umbwiga wako. Nambie umepigwa hadi lini... Me nshazoea kupigwa hizo huu mwaka wa 12 humu jf wala hazinisumbui kwa kusema ukweli... Hivyo mwalla atabaki yuleyule 4real 4sure
 
hahahahaaa mama CLAUDIAELIAKIMU uko pande iiii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…