TATA MKURIA
JF-Expert Member
- Apr 6, 2015
- 299
- 407
- Thread starter
-
- #41
Povu ruksa.Hata tukifungwa goli 100, Simba hatakuja kuwa Chura!!
Nyie vyura size yenu ni Mabwepande FC timu ya daraja la 6, mnakaribishwa kuja kuangalia mechi ya kiume Simba wakikipiga na Timu kubws ya Ulaya. Walau 2050 mtapata nafasi ya kucheza walau na timu kubwa pale Burundi Ntambamulugamba FC!
Gracias muchus!
Hahahaa. Kama nawaona Mikia watakavyoitunza hii kauli yako Shemela ili ikiwa kinyume waje wakutolee mapovu. 😀😀😀Piga hao Mikia FC nyingiiiiiiiiiiiiiii................
Hao wataumia sana shemela waache tu.Hahahaa. Kama nawaona Mikia watakavyoitunza hii kauli yako Shemela ili ikiwa kinyume waje wakutolee mapovu. 😀😀😀
Wakuu,
Natabiri hawa mabingwa watetezi na watarajiwa ligi kuu kulambwa bao kadhaa pale kwa mchina na kutuabisha sana. Kama unaamini kama mimi sema "mnyama atakatwa mkia"
Teh teh teh!
Timu ya ulimwengu wa kwanza kisoka vs timu ya ulimwengu wa mia na zaidi kisoka.Nini kinakuaminisha hivyo?
Wakuu,
Natabiri hawa mabingwa watetezi na watarajiwa ligi kuu kulambwa bao kadhaa pale kwa mchina na kutuabisha sana. Kama unaamini kama mimi sema "mnyama atakatwa mkia"
Teh teh teh!
Wakuu,
Natabiri hawa mabingwa watetezi na watarajiwa ligi kuu kulambwa bao kadhaa pale kwa mchina na kutuabisha sana. Kama unaamini kama mimi sema "mnyama atakatwa mkia"
Teh teh teh!
Mpira ni 90 minutes. 11 by 11 players.Timu ya ulimwengu wa kwanza kisoka vs timu ya ulimwengu wa mia na zaidi kisoka.
Mishaahara ya klabu ya sevilla mwaka mzima inatosha kununua simba, Unadhani uko sawa nao?Wakuu,
Natabiri hawa mabingwa watetezi na watarajiwa ligi kuu kulambwa bao kadhaa pale kwa mchina na kutuabisha sana. Kama unaamini kama mimi sema "mnyama atakatwa mkia"
Teh teh teh!
Hawaji kimashindano, matembezikwamba sevilla akifungwa kwamba ni kikosi "B" kama ni chenyewe basi wameuza game.
MkuuUsisahau mnyama hafungiki kwa mchina, na hivi tunacheza kichampioni wala hatubabaiki.
bora kuaibishwa na mzungu kuliko kutoaibishwa kabisa maana utasahaulika.Wakuu,
Natabiri hawa mabingwa watetezi na watarajiwa ligi kuu kulambwa bao kadhaa pale kwa mchina na kutuabisha sana. Kama unaamini kama mimi sema "mnyama atakatwa mkia"
Teh teh teh!