Kuja kwa Sevilla: Simba watapigwa hadi wachakae!

Wale walionipinga mkuje mjibu baada ya dk 90 kuisha.
Wamechakaa au! Na aibu imebaki Tz,
Anyway mikia wamejaribu aisee!
 
Wale walionipinga mkuje mjibu baada ya dk 90 kuisha.
Wamechakaa au! Na aibu imebaki Tz,
Anyway mikia wamejaribu aisee!
Najua we chura hukutegemea haya matokeo na ulikuwa unaangalia TV kwa kuchungulia. Hawa ndo Simba!!
 
Najua we chura hukutegemea haya matokeo na ulikuwa unaangalia TV kwa kuchungulia. Hawa ndo Simba!!
Mkuu mi hata c wa huko, hii niliiona mapema, ila wamejitahidi sana nisiwe mnafiki kuwapa kongole ila ukweli utakuwa pale pale wamekula kichapo!
 
Wangepiga 5 bila wangeogopwa kwa mara ingine, yale mambo ya saikolojia ya chekechea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…